Hali ni ngumu sana kwa Raisi Kikwete, kila kukicha ni habari mbaya kama jinamizi likiiandama serikali yake. Yaonekana serikali haiko makini kuepuka lawama, makosa,labda kuna ugumu kungamua lipi wafanye na lipi wasifanye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.