Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Upo wapi usawa na sheria inasemaje juu ya maneno haya kwenye taasisi inayosikilizwa na idadi kubwa ya watu tanzania na hata nje ya nchi. Jana mbunge wa zanzibar alitumia maneno Upumbavu upuuzi na kusema kuwa jina la muheshimiwa lina maana fulani huko kwao ambayo hakuisema ni maana gani.
Nakumbuka kuna siku Mbunge wa Chadema alichangia akatoa mfano wa MH. Samweli Sitta (swala la afya) akakalishwa chini na wabunge wakawa wakali ila kwakuwa alikuwa anaongea wa CCM jana CHADEMA wakiomba utaratibu wanazuiwa.
JE HII NI HAKI NA SAWA KWELI?
Nakumbuka kuna siku Mbunge wa Chadema alichangia akatoa mfano wa MH. Samweli Sitta (swala la afya) akakalishwa chini na wabunge wakawa wakali ila kwakuwa alikuwa anaongea wa CCM jana CHADEMA wakiomba utaratibu wanazuiwa.
JE HII NI HAKI NA SAWA KWELI?