Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,491
- 26,978
- Thread starter
- #21
Tunafundishwa elimu ya kuja kutafuta pesa ila hatufundishwi tabia za pesa. Matajiri wakubwa huwalisisha watoto wao elimu ya kusimamia Mali na kuziendeleza nipewe Mimi sasa.. mtaona kila rangi.. mkuu niheri ufundishwe uchumi na mfanya biashara kuliko walimu tu ambao hawafanyi hicho kitu.. ukitaka kujifunza kitu chochote nenda kwa mwenye experience ye ndo anaona hali ikoje.. ukitaka majibu ya maswali yako mfate kamsome au msikilize Robert kiyosaki hutatoka bure.
Nimesoma vitabu kadhaa vya huyo bwege, nafikiri pia vimechangia kufidisha interest kwenye njia yangu... unasoma halafu unajiona fwala kabisa sijui unaishije tu!