Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,491
- 26,978
Hii ni kwa wale waliosomea taaluma fulani na hivyo kuendesha maisha kupitia taaluma hizo.
Ikumbukwe ni enzi za shule, kiumri na ukomavu ni mdogo usiotosha kujua hasa nini kesho yako inahitaji.
Unaweza kujikuta umechagua njia yoyote ili mradi tu kulingana na ufaulu wa masomo yako, au basi kwa ushauri wa watu fulani kama walezi/wazazi au marafiki.
Ukishakuwa mkubwa unajikuta uko hapo, inaweza kuwa ulifanya chaguo sahihi na unafurahia au ndo basi tena huna namna inakubidi uji-adjust tu ili maisha yaende.
Binafsi nilisomea kozi fulani ya AFYA, ilikuwa ni sifa na heshima tu ila kumbe sina WITO huo kabisa na FURAHA yangu ni kupiga PESA sio kuokoa MAISHA ya WATU.
Leo ingekuwa ndio juzi, nisingechagua kusomea hiki ninachokifanya leo... nafanya kama wajibu lakini sijioni kabisa kuishi maisha yangu halisi.
Je, ni mimi pekee niliyeingia cha kike?
Ikumbukwe ni enzi za shule, kiumri na ukomavu ni mdogo usiotosha kujua hasa nini kesho yako inahitaji.
Unaweza kujikuta umechagua njia yoyote ili mradi tu kulingana na ufaulu wa masomo yako, au basi kwa ushauri wa watu fulani kama walezi/wazazi au marafiki.
Ukishakuwa mkubwa unajikuta uko hapo, inaweza kuwa ulifanya chaguo sahihi na unafurahia au ndo basi tena huna namna inakubidi uji-adjust tu ili maisha yaende.
Binafsi nilisomea kozi fulani ya AFYA, ilikuwa ni sifa na heshima tu ila kumbe sina WITO huo kabisa na FURAHA yangu ni kupiga PESA sio kuokoa MAISHA ya WATU.
Leo ingekuwa ndio juzi, nisingechagua kusomea hiki ninachokifanya leo... nafanya kama wajibu lakini sijioni kabisa kuishi maisha yangu halisi.
Je, ni mimi pekee niliyeingia cha kike?