CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa kasi sio kazi ndogo. Sasa hivi anajenga reli ya kufika tz, ana masterplan ya 50yrs to come ya nchi yake. Wanafunzi wote wa primary wanacomputer, kigali ni mji unaopendeza, wafanyakaz wa serikali wanamikataba wa miaka 3, 3, ukiburunda after 3yrs kwenu analetwa mwingine. Magar ya kifahar wanamiliki watu binafsi tu. Kipindi cha uchaguz alikuwa anatumia gar lake aina la benz, dereva mwenyewe na mke wake, na magar mengine 2 binafsi kwa ajiri ya walinzi wake. Amekomesha ukabila, wanajeshi wanapiga dolia, wakimkamata mwizi,kibaka,jambaz hawampigi wanawapigia cmu polisi wanakuja kumchukua. Lakin cha ajabu mialiko ya kuja tz anaikwepa anatuma wawakilishi wake tu, cjui ki2 gan kimejificha. Huo ni mtazamo wangu tu, nawakilisha