Ingekuwa ma-rais wanaazimwa kwa muda, mi ningempendekeza kagame aje tz

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa kasi sio kazi ndogo. Sasa hivi anajenga reli ya kufika tz, ana masterplan ya 50yrs to come ya nchi yake. Wanafunzi wote wa primary wanacomputer, kigali ni mji unaopendeza, wafanyakaz wa serikali wanamikataba wa miaka 3, 3, ukiburunda after 3yrs kwenu analetwa mwingine. Magar ya kifahar wanamiliki watu binafsi tu. Kipindi cha uchaguz alikuwa anatumia gar lake aina la benz, dereva mwenyewe na mke wake, na magar mengine 2 binafsi kwa ajiri ya walinzi wake. Amekomesha ukabila, wanajeshi wanapiga dolia, wakimkamata mwizi,kibaka,jambaz hawampigi wanawapigia cmu polisi wanakuja kumchukua. Lakin cha ajabu mialiko ya kuja tz anaikwepa anatuma wawakilishi wake tu, cjui ki2 gan kimejificha. Huo ni mtazamo wangu tu, nawakilisha
 
labda na sie tukipigana ndo tutaheshimiana. si unaona kenya sasa hivi wanaheshimiana sana.
 
Kaka hao ndo viongozi,wenye miono ya mbali,hapa kwetu tuna watawala na sio viongozi,
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa kasi sio kazi ndogo. Sasa hivi anajenga reli ya kufika tz, ana masterplan ya 50yrs to come ya nchi yake. Wanafunzi wote wa primary wanacomputer, kigali ni mji unaopendeza, wafanyakaz wa serikali wanamikataba wa miaka 3, 3, ukiburunda after 3yrs kwenu analetwa mwingine. Magar ya kifahar wanamiliki watu binafsi tu. Kipindi cha uchaguz alikuwa anatumia gar lake aina la benz, dereva mwenyewe na mke wake, na magar mengine 2 binafsi kwa ajiri ya walinzi wake. Amekomesha ukabila, wanajeshi wanapiga dolia, wakimkamata mwizi,kibaka,jambaz hawampigi wanawapigia cmu polisi wanakuja kumchukua. Lakin cha ajabu mialiko ya kuja tz anaikwepa anatuma wawakilishi wake tu, cjui ki2 gan kimejificha. Huo ni mtazamo wangu tu, nawakilisha

Mkuu naona unajichanganya hapo kwenye red, benz sio gari la kifahari? na hapo kwenye blue jaribu kuandika vizuri hii thread yako, Paul Kagame the new Hitler
 
Kaka hao ndo viongozi,wenye miono ya mbali,hapa kwetu tuna watawala na sio viongozi,
mku nackia eti baba yake na Raila odinga aliwahi kuwaomba wakenya wamruhusu akae ikuru japo kwa siku 1, cjui alikuwa na maana gani? Na africa hiyo ndo type ya viongozi 2lonao specificaly TZ
 
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa kasi sio kazi ndogo. Sasa hivi anajenga reli ya kufika tz, ana masterplan ya 50yrs to come ya nchi yake. Wanafunzi wote wa primary wanacomputer, kigali ni mji unaopendeza, wafanyakaz wa serikali wanamikataba wa miaka 3, 3, ukiburunda after 3yrs kwenu analetwa mwingine. Magar ya kifahar wanamiliki watu binafsi tu. Kipindi cha uchaguz alikuwa anatumia gar lake aina la benz, dereva mwenyewe na mke wake, na magar mengine 2 binafsi kwa ajiri ya walinzi wake. Amekomesha ukabila, wanajeshi wanapiga dolia, wakimkamata mwizi,kibaka,jambaz hawampigi wanawapigia cmu polisi wanakuja kumchukua. Lakin cha ajabu mialiko ya kuja tz anaikwepa anatuma wawakilishi wake tu, cjui ki2 gan kimejificha. Huo ni mtazamo wangu tu, nawakilisha

Hana muda wa porojo na mipasho isiyo na kikomo. Kikao cha nusu saa mnafanya kwa siku mbili. Time wasters.
 
Mkuu naona unajichanganya hapo kwenye red, benz sio gari la kifahari? na hapo kwenye blue jaribu kuandika vizuri hii thread yako, Paul Kagame the new Hitler

ndio maana nikasema wanamiliki watu, binafsi, hilo benz ni la kwake mwenyewe na sio serikali. Ujumbe umefika, hata kama ni hitler lakini maendeleo yanaonekana. Wananchi wake wanamkubari
 
ndio maana nikasema wanamiliki watu, binafsi, hilo benz ni la kwake mwenyewe na sio serikali. Ujumbe umefika, hata kama ni hitler lakini maendeleo yanaonekana. Wananchi wake wanamkubari

CPA hapo kwenye blue kuwa makini na kiswahili chako samahani lakini, Kagame muuaji mkubwa wapinzani wake wengi wamekimbia nchi
 
Kagame ni mtu makin mno anayetambua analolifanya na kwa wakati muafaka.

ndo maana hawezi kukaa meza moja na ****** maana anaona anampotezea muda tu ..we kwenye mkutana rais anashika simu anajibu meseji ..sasa huyo rais au diwani
 
  • Thanks
Reactions: LAT
CPA hapo kwenye blue kuwa makini na kiswahili chako samahani lakini, Kagame muuaji mkubwa wapinzani wake wengi wamekimbia nchi

hahaaaaa umenifurahisha sana chatu dume....huyu atakuwa ni muraaa au anatokea kyabakariiii
 
Juzi kapewa nishani ya utawala bora, kwa sasa KASI YA UKUAJI UCHUMI DUNIANI YA RWANDA NI SAWA NA YA SINGAPORE!
 
mku nackia eti baba yake na Raila odinga aliwahi kuwaomba wakenya wamruhusu akae ikuru japo kwa siku 1, cjui alikuwa na maana gani? Na africa hiyo ndo type ya viongozi 2lonao specificaly TZ
Si unajuwa mwafrica yaani alikuwa anamaanisha kuwa akipewa dakika moja tu atakuwa amebeba kila kitu kitakachowezekana kubebwa,lakini nasikia hawaku mpa
kama hujashiba ktk sufuria unazani utashiba ktk kijiko bana?

Watawala wa Tz na Africa tuna waza kujilimbikizia mali zaidi
ebu mwangalie yule raisi wa misri inasemekana ndie rais tajiri africa akifuatiwa na Riziwan Bongo hehehehehehe
 
CPA hapo kwenye blue kuwa makini na kiswahili chako samahani lakini, Kagame muuaji mkubwa wapinzani wake wengi wamekimbia nchi

Ni bora uwe muuaji lakini nchi inasonga mbele kimaendeleo,uchumi na mambo mengine,ebu angalia china,hakuna kutumia face book,google,watu tillion kadhaa lakini nchi hiyo inapaa kiuchumi
Huwezi kuendesha nchi bila kuwa na kaelement ka udictactor mambo yatakushinda tuu,ni lazima uwe mbishi sio kila kitu sawa
hata Idd amini dada umafia wake ulisababisha nchi kuwa na uchumi mzuri hata waingereza walikwenda kumpigia magoti na kumwomba msaada,lakini hatuyaoni hayo kwa kuwa alitaka kutupiga
 
CPA kweli umekua mateka wa propaganda za kagame akisaidiwa na marekani na nchi za magharibi! Pole sana mdogo wangu! Kwa taarifa yako hakuna kiongozi balaa kwa mustakabali wa taifa lake kama kagame! Kwanza uliyoongea mengi sio kweli!,

Nikianza na kubwa la kukomesha ukabila hajafanya la maana! Anakandamiza sana wahutu na anajaribu kuweka chuki zaidi kwa kuhubili na kuonesha mafuvu kwamba wahutu ni wauaji wakati yeye ndio muuaji mkubwa! Kwenye safu ya uongozi wa juu na jeshini hakuna wahutu na mhutu yeyote mwenye pesa atazushiwa lolote ili afilisiwe na kufungwa ikibidi! Kagame ni mkabila kwa vitendo ndio maana hawezi kukomesha ukabila kwa maneno!

Mpango wa miaka hamsini umeusoma?, ni mzuri? Au kwako kuwepo mpango tu hata kama ni mpango kandamizi ni jambo la kusifiwa?

Kuhusu reli nakuomba CPA acha uzushi!, kwa haijaanza kujengwa pili sio yeye bali ni jumuia ya africa mashariki!, ni mpango wa nchi zote husika. Hata umeme utazalishwa rusumo kwa mpango huo huo!

Kwenye kikao kilichopita hakuja kwa sababu mwenyekiti alikua mhutu, rais wa burundi!

Pili, maendeleo yanayosemwa sio sawa na hali halisi wala hayajazidi yaliyokuwepo wakati wa Habyarimana! Kagame amewekwa na marekani kama mlango wa kuingilia kongo. Si unajua kipindi cha habyarimana rwanda na mobutu congo, marekani ilikua haifaidiki sana congo? Jamaa ni bonge la kibaraka!

Mji wa kigali ni mji mdogo sana, unaweza kutembea kwa miguu ukafika kila kona ndani ya siku moja! Haufikii hata robo ya Dar!, ni kama singida au kahama vile kwa ukubwa!
 
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa kasi sio kazi ndogo. Sasa hivi anajenga reli ya kufika tz, ana masterplan ya 50yrs to come ya nchi yake. Wanafunzi wote wa primary wanacomputer, kigali ni mji unaopendeza, wafanyakaz wa serikali wanamikataba wa miaka 3, 3, ukiburunda after 3yrs kwenu analetwa mwingine. Magar ya kifahar wanamiliki watu binafsi tu. Kipindi cha uchaguz alikuwa anatumia gar lake aina la benz, dereva mwenyewe na mke wake, na magar mengine 2 binafsi kwa ajiri ya walinzi wake. Amekomesha ukabila, wanajeshi wanapiga dolia, wakimkamata mwizi,kibaka,jambaz hawampigi wanawapigia cmu polisi wanakuja kumchukua. Lakin cha ajabu mialiko ya kuja tz anaikwepa anatuma wawakilishi wake tu, cjui ki2 gan kimejificha. Huo ni mtazamo wangu tu, nawakilisha

yaani asubuhi leo my wife na mie tulikua tunaongea kuhusu huyu bwana na yule wa burundi, huwezi amini jinsi wanavyofanya vitu vikubwa kwa nchi zao, si tuko busy tunavua magamba
 
Jambo msilolijua, kwanza population ya rwanda ni ndogo, mbili kagame ananufaika na congo -kinshasha . Rejea mgogoro wa Goma. Wanyamulenge wanasaidiwa na rwanda. Na ni wanyarwanda walioingia congo kwa mpango maalum. Anajichotea madini congo, kabila ni mjombake (mama wa kabila mnyarwanda) popote walipo duniani hawatupani.
 
Ni bora uwe muuaji lakini nchi inasonga mbele kimaendeleo,uchumi na mambo mengine,ebu angalia china,hakuna kutumia face book,google,watu tillion kadhaa lakini nchi hiyo inapaa kiuchumi
Huwezi kuendesha nchi bila kuwa na kaelement ka udictactor mambo yatakushinda tuu,ni lazima uwe mbishi sio kila kitu sawa
hata Idd amini dada umafia wake ulisababisha nchi kuwa na uchumi mzuri hata waingereza walikwenda kumpigia magoti na kumwomba msaada,lakini hatuyaoni hayo kwa kuwa alitaka kutupiga

Mkuu umenichekesha sana Reference zako za maendeleo, facebook na Google sio maendeleo Google ni search engine wachina wanazo kibao, na facebook ni mtandao wa kijamii kama vile JF wachina wanayo mingi tu, kingine hiyo data ya watu tillioni kadhaa sijui umeitoa wapi dunia mpaka sasa ina watu 7 billion, China ina watu 1,341 billion, turudi Rwanda wapo wachache ina watu 11 million tu
 
Back
Top Bottom