Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

Watamuachiaje m

Watamuachiaje mtu ambaye kiafya sio timamu hawezi kuinama wala kupiga magoti, kiuno kipo upande, mguu na mkono wa upande mmoja hauwezi kunyooka na kutembea kama kinyonga. Kwa hao wenzetu wanaoachiana wagombea kwa hiari yao wenyewe wanafanyiwa medical examination kuangalia afya zao kama wanaweza kuhimili misuko suko ya hizo nafasi. Isitoshe hata kwenye kuajiriwa kazini shurti upasi medical examination. Nakuomba umshauri mgombea wako ajitoe kwani physically ni unfit au kwa kistaarabu wanasena physically handicap au vipi ndugu yangu.
Uko sahihi physical fitness ni moja ya sifa za mgombea sababu anaenda kuwa amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama

Mfano adui akimlenga risasi walinzi wakimwambia piga magoti haraka kukwepa risasi inabidi awe na uwezo huo

Tundu Lisu uwezo wa kupiga magoti hana
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Chama cha DEMOKRASIA Na Maendeleo-kinatakiwa kionyeshe demokrasia yake. Hivyo basi wote Nyalandu na Lissu wapambane, wasikilizwe na Chama kupitia mchakato wake watoe jina la mbeba bendera ya chama. Hakuna haja ya kuwa kama CCM ambao walikuwa na form1. Atakae amua kujitoa afanye hivyo kwa utashi wake na sio kwa kulazimishwa.
 
Ingekuwa Nchi za wenzetu kusingekuwa na mgombea mwingine yoyote wa urais, sabbu nyakati zinambeba John pombe Magufuli kwa mara nyingine tena anyway ndo demokrasia acha nao tuone wanavyokubarika katika Jamii lakini kifupi ni kufuja pesa za Walipa kodi bila sababu..
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Ni haki yake kumwaga sera zake mbele ya wanachama. Huu ni mchakato wa kidemokrasia unaouzwa kwa sera. Acha atimize haki yake kikatiba.
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
We subiri demokrasia ichukue mkondo wake lazima demokrasia itatendeka mbona Mbowe alishajiondoa?
 
Ingekuwa Nchi za wenzetu kusingekuwa na mgombea mwingine yoyote wa urais, sabbu nyakati zinambeba John pombe Magufuli kwa mara nyingine tena anyway ndo demokrasia acha nao tuone wanavyokubarika katika Jamii lakini kifupi ni kufuja pesa za Walipa kodi bila sababu..
Magufuli nani kakudanganya kuwa anakubalika? Kwa mambo Yapi zaidi ya kupiga porojo kila uchwao?
 
Cha msingi kichwa kinafanya kazi na anatembea. Kuna mtu alishinda uraisi akiwa kwenye wheelchair. Hivyo mkuu sioni hoja yako.
Hayo ya nchi zingine Sio Tanzania waachieni wenyewe wakenya ambao walimpa kibaki kura akiwa kwenye wheel chair Baada ya kupingwa mkewe Luck Kibaki
 
Hapana mi naona wasijitoe mapema...game lipigwe live kura zijesabiwe then tucheki nani kawaburuza !!

Ili baada ya game timu ibaki moja..
 
Nyie jamaa vipi? Nyalandu si aliongoza kura za kamati kuu.

BTW: Mazingira yalivyo hata Lisu mwenyewe ungemshauri amuunge mkono Magufuli tu kama akina Mrema kwa hoja hiyo hiyo ya nyakati.

Au tayari mmechotwa na hiyo nyomi ya Airport?

Watu wamelipia form then wakachoma mafuta kutafuta wadhamini nchi nzima then mtu unaibuka na mshangao wa kichovu hivyo!!😁!
 
Watamuachiaje m

Watamuachiaje mtu ambaye kiafya sio timamu hawezi kuinama wala kupiga magoti, kiuno kipo upande, mguu na mkono wa upande mmoja hauwezi kunyooka na kutembea kama kinyonga. Kwa hao wenzetu wanaoachiana wagombea kwa hiari yao wenyewe wanafanyiwa medical examination kuangalia afya zao kama wanaweza kuhimili misuko suko ya hizo nafasi. Isitoshe hata kwenye kuajiriwa kazini shurti upasi medical examination. Nakuomba umshauri mgombea wako ajitoe kwani physically ni unfit au kwa kistaarabu wanasena physically handicap au vipi ndugu yangu.
Tundu Lissu yupo fiti kuliko huyo Albashiri wenu muuaji nyapara wa barabara. Tena kiafya hata Lowasa ana nafuu kuliko hyo jamaa yenu. Ndio maana hapandi ndege wew lofa hujui chochote kaa kimyaa tuu.
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.

Wewe unaangalia nyakati au Hela?
chezea waziri wa Vitalu nini?
 
Membe mwenzake ameshaonyesha dalili za kumuunga mkono Lissu ila yeye kakomaa.

Hii sio soka ambayo umapaswa kukomaa hata kama bao moja unalotafuta katika mechi ya fainali kwenye dakika za majeruhi , haliwezi badili matokeo pale mpinzani wako anapokuwa na anaongoza kwa magoli mengi.
Kwa hili inabidi nyalandu ajitathimini mapema kisha ajiondoe mwenyewe amuachie lisu, hatutaki sababu maana hamkawii kusema mbowe na genge lake wamenifanyia zengwe
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Nakwambia Lisu kwa Magu anakanyagwa asbh kweupeee! Afadhari kidogo Member, yaani Lisu hapati hata asilimia 2 ya kura, take it from me!
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom