Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

Lisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.

Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Lissu ana sifa zote mpaka za ziada, NEC watuletee wagombea wote mpaka rungwe, wananchi tutaamua kwenye sanduku LA kura.
 
Asimame Nyalandu,Lissu au mgombea yoyote sisi tunasema kipigo kipo pale pale safari hatutaki wapinzani wapate hata Jimbo moja la uchaguzi.

Yaani tutawatembezea kipigo cha pakashume yaani turuhusu mapusi kwenda kunajisi Ikulu kweli ????hilo jambo haliwezekani hata kidogo
Bila polis na wakurugenzi safari hii ccm kazi mnayo
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.

Nyalandu ndiye Mwenyekiti mpya ajaye wa CHADEMA?.
 
Asimame Nyalandu,Lissu au mgombea yoyote sisi tunasema kipigo kipo pale pale safari hatutaki wapinzani wapate hata Jimbo moja la uchaguzi.

Yaani tutawatembezea kipigo cha pakashume yaani turuhusu mapusi kwenda kunajisi Ikulu kweli ????hilo jambo haliwezekani hata kidogo
Labda kwa kuiba kura uchakachuaji lakini kwa sanduku la kura CCM haishindi
 
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Acheni demokrasia ifuate mkondo wake
 
Watamuachiaje m
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.

Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.

Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.

Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.

Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Watamuachiaje mtu ambaye kiafya sio timamu hawezi kuinama wala kupiga magoti, kiuno kipo upande, mguu na mkono wa upande mmoja hauwezi kunyooka na kutembea kama kinyonga. Kwa hao wenzetu wanaoachiana wagombea kwa hiari yao wenyewe wanafanyiwa medical examination kuangalia afya zao kama wanaweza kuhimili misuko suko ya hizo nafasi. Isitoshe hata kwenye kuajiriwa kazini shurti upasi medical examination. Nakuomba umshauri mgombea wako ajitoe kwani physically ni unfit au kwa kistaarabu wanasena physically handicap au vipi ndugu yangu.
 
Watamuachiaje m

Watamuachiaje mtu ambaye kiafya sio timamu hawezi kuinama wala kupiga magoti, kiuno kipo upande, mguu na mkono wa upande mmoja hauwezi kunyooka na kutembea kama kinyonga. Kwa hao wenzetu wanaoachiana wagombea kwa hiari yao wenyewe wanafanyiwa medical examination kuangalia afya zao kama wanaweza kuhimili misuko suko ya hizo nafasi. Isitoshe hata kwenye kuajiriwa kazini shurti upasi medical examination. Nakuomba umshauri mgombea wako ajitoe kwani physically ni unfit au kwa kistaarabu wanasena physically handicap au vipi ndugu yangu.
Huna hoja Mkuu, kwani Jpm yuko fiti kiafya? Hujui tu
 
Back
Top Bottom