Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Ukikumbuka utendaji wa Augustino Lyatonga Mrema enzi zile akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani, ndio utajua umuhimu wa waziri mwenye dhamana katika balaa hili la mauji linaloendelea huko mkoani Pwani na pia utajua ni kwanini Mwigulu Nchemba anapaswa kuachia ngazi.
Hivi sasa,licha ya yanayoendelea, Waziri na Naibu wake wote wako Bungeni unless wawe wameenda leo.
Nina hakika ingekuwa ni enzi za Mrema, leo hii yeye mwenyewe angekuwa ameshahamishia kambi huko kibiti pamoja na vigogo wa Jeshi la Polisi.
Mrema alikuwa na juhudi binafsi,alikuwa mbunifu na zaidi alkuwa anajituma katika kusimamia maagizo yake.
Mh.Mwigulu please do the needful.
Hivi sasa,licha ya yanayoendelea, Waziri na Naibu wake wote wako Bungeni unless wawe wameenda leo.
Nina hakika ingekuwa ni enzi za Mrema, leo hii yeye mwenyewe angekuwa ameshahamishia kambi huko kibiti pamoja na vigogo wa Jeshi la Polisi.
Mrema alikuwa na juhudi binafsi,alikuwa mbunifu na zaidi alkuwa anajituma katika kusimamia maagizo yake.
Mh.Mwigulu please do the needful.