Ingekua vizuri mitani ya UE Vyuo Vikuu iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU

Mnataka kwapa mzigo TCU alafu matokeo yakichelewa muanze kupiga makelele...
 
Degree nyingi za vitoto vya kike vya zama hizi ni feki! Hiyo ikifanikiwa inaweza kuwa muarobaini japo ni ngumu..

Meanwhile wanaweza kufanya exchange ya invigilators na markers inaweza kua dawa ya kuondoa kubebwa sababu ya ngono..
 
Mitihani ya vyuo vikuu kamwe haiwezi kutungwa nje ya chuo husika (siyo primary au secondary).
Vyuo huwa vina exam moderation by external examiners ambao pia hucheck quality ya marking.
Mwanafunzi asiyerdhika na matokeo yake ana haki ya kuappeal.
Examination processing huanzia idarani, college na mwisho senate. Si rahisi kwa mwalimu mmoja kuamua kukufelisha.
Dissertation kawaida huwa marked na both internal and external examiners. Maamuzi ya external ndiyo hupewa uzito mkubwa.
TCU jukumu lao kubwa ni kuhakikisha kuwa equality control processes zinafuatwa na vyuo.
Jukumu moja la mwanafunzi ni kuelewa sheria na processes husika bahati mbaya kwa uzoefu wangu wengi hawazijui. Matokeo yake ni malalamiko yasiyo na msingi imara. Michango ya wakuu wengi hapa ina akisi uelewa wao.
 
HII HOJA NI DHAIFU SANA,
Kwanza inapaswa tuelewe Chuo si shule za ukwanza na upili. Chuo hakisifiwa kwa kutoa GPA kubwa.
Chuo ni taasisi ya elimu inayotoa ujuzi wa juu au mafunzo maalum ya kitaaluma au ya ufundi.
Sifa kuu ya chuo ni kuwaanda vijana waendane na mahitaji ya soko la ajira.

MIT, Oxford au Havard hawasifiwi kwa GPA kubwa kwa kuzifananisha na vyuo vingine. Gentleman GPA ya MIT hauwezi kuifananisha na first class degree ya UDSM na Gentleman GPA ya UDSM hauwezi kuifananisha na first class ya Teofilo Kisanji.
Kila chuo huwa kinawaandaa wanafunzi wake waende kukiwakilisha kwenye soko la ajira, lengo la chuo sio ukalili wa common knowledge bali ni kumaster skills furani zinazo watofautisha wanafunzi wake na wanafunzi wa vyuo vingine.

Vyuo vingi huwa wanaweka kwenye Prospectus zao course structure na code, lakini hakuna kinachoweka specific modules na topic wanazofundisha kwa kuwa hizi modules ni sehemu ya mbinu za siri za mafanikio ya performance ya wanafunzi wao kwenye soko la ajira.

Hatuwezi kutumia mfumo unaotoa wahitimu watakao julikana kama matokeo ya mtaala furani wa nchi, mfano ana Bachelor ya Business Administration kutoka Tanzania, ni upumbavu sana.

Inapaswa kutambuliwa kwa vyuo walivyo toka kwa maana kila chuo kina viwango vyake vya udahili, namna wanavyopata wakufunzi na namna wanavyo wapima wanafunzi, mfano mtu aliyeweza kuwa enrolled kwenye chuo kama Havard ni dhahili kuwa yupo vizuri kwa viwango vya udahili wa Havard University mtu huyu hauwezi kupima ufaulu wake kwenye mtihani mmoja na mwanafunzi wa Oklahoma State University, kwanini hatuwezi kuwapima?

Havard University ina acceptance rate (AR) ya 5% tu, inamaana katika kila watu 100 wanao omba kujiunga na Havard watu 5 tu ndio hupata nafasi, wakati Oklahoma State University ina acceptance rate ya 70% yani kila watu 100 wanao omba basi 70 hupata nafasi.
AR inaonesha viwango vya uchaguzi wa wanafunzi wanaojiunga na chuo husika, maana AR ya chuo furani inapokuwa chini vilaza hawawezi kupata nafasi ya kujiunga na chuo hicho kwa kuwa ushindani wa kupata nafasi unakuwa mkubwa sana.
Vyuo vikubwa pia haviwezi kushare mitihani kwakuwa kila kimoja huwa kinawaandaa wahitimu wake kwa mbinu za hali ya juu ili waje kuwa bora kuliko wengine kwenye soko la ajira na sio kwenye chumba cha mtihani.

Swala la rushwa ya ngono litafutiwe njia nyingine ya kulidhibiti lakini hatuwezi kupima kilo moja ya dhahabu na kilo moja ya chuma kisha tuseme zina thamani sawa hapana. Kila chuo kiwaandae wanafunzi wake wawe dhahabu kwenye soko la ajira na sikuwafananisha na vyuma.
Watu watambulike kwa reputation ya vyuo vyao na si GPA walizonazo.
 
HII HOJA NI DHAIFU SANA,
Kwanza inapaswa tuelewe Chuo si shule za ukwanza na upili. Chuo hakisifiwa kwa kutoa GPA kubwa.
Chuo ni taasisi ya elimu inayotoa ujuzi wa juu au mafunzo maalum ya kitaaluma au ya ufundi.
Sifa kuu ya chuo ni kuwaanda vijana waendane na mahitaji ya soko la ajira.

MIT, Oxford au Havard hawasifiwi kwa GPA kubwa kwa kuzifananisha na vyuo vingine. Gentleman GPA ya MIT hauwezi kuifananisha na first class degree ya UDSM na Gentleman GPA ya UDSM hauwezi kuifananisha na first class ya Teofilo Kisanji.
Kila chuo huwa kinawaandaa wanafunzi wake waende kukiwakilisha kwenye soko la ajira, lengo la chuo sio ukalili wa common knowledge bali ni kumaster skills furani zinazo watofautisha wanafunzi wake na wanafunzi wa vyuo vingine.

Vyuo vingi huwa wanaweka kwenye Prospectus zao course structure na code, lakini hakuna kinachoweka specific modules na topic wanazofundisha kwa kuwa hizi modules ni sehemu ya mbinu za siri za mafanikio ya performance ya wanafunzi wao kwenye soko la ajira.

Hatuwezi kutumia mfumo unaotoa wahitimu watakao julikana kama matokeo ya mtaala furani wa nchi, mfano ana Bachelor ya Business Administration kutoka Tanzania, ni upumbavu sana.

Inapaswa kutambuliwa kwa vyuo walivyo toka kwa maana kila chuo kina viwango vyake vya udahili, namna wanavyopata wakufunzi na namna wanavyo wapima wanafunzi, mfano mtu aliyeweza kuwa enrolled kwenye chuo kama Havard ni dhahili kuwa yupo vizuri kwa viwango vya udahili wa Havard University mtu huyu hauwezi kupima ufaulu wake kwenye mtihani mmoja na mwanafunzi wa Oklahoma State University, kwanini hatuwezi kuwapima?

Havard University ina acceptance rate (AR) ya 5% tu, inamaana katika kila watu 100 wanao omba kujiunga na Havard watu 5 tu ndio hupata nafasi, wakati Oklahoma State University ina acceptance rate ya 70% yani kila watu 100 wanao omba basi 70 hupata nafasi.
AR inaonesha viwango vya uchaguzi wa wanafunzi wanaojiunga na chuo husika, maana AR ya chuo furani inapokuwa chini vilaza hawawezi kupata nafasi ya kujiunga na chuo hicho kwa kuwa ushindani wa kupata nafasi unakuwa mkubwa sana.
Vyuo vikubwa pia haviwezi kushare mitihani kwakuwa kila kimoja huwa kinawaandaa wahitimu wake kwa mbinu za hali ya juu ili waje kuwa bora kuliko wengine kwenye soko la ajira na sio kwenye chumba cha mtihani.

Swala la rushwa ya ngono litafutiwe njia nyingine ya kulidhibiti lakini hatuwezi kupima kilo moja ya dhahabu na kilo moja ya chuma kisha tuseme zina thamani sawa hapana. Kila chuo kiwaandae wanafunzi wake wawe dhahabu kwenye soko la ajira na sikuwafananisha na vyuma.
Watu watambulike kwa reputation ya vyuo vyao na si GPA walizonazo.
Mkuu wewe uelewa wako upo juu sana. Naunga mkono hoja zako zote, ukisoma hii kitu hapa chini na kuielewa hoja ya mleta mada inakuwa ngumu sana kuwa implemented.View attachment Handbook for Standards and Guidelines for University Education in Tanzania - 3rd Edition.pdf
 
HII HOJA NI DHAIFU SANA,
Kwanza inapaswa tuelewe Chuo si shule za ukwanza na upili. Chuo hakisifiwa kwa kutoa GPA kubwa.
Chuo ni taasisi ya elimu inayotoa ujuzi wa juu au mafunzo maalum ya kitaaluma au ya ufundi.
Sifa kuu ya chuo ni kuwaanda vijana waendane na mahitaji ya soko la ajira.

MIT, Oxford au Havard hawasifiwi kwa GPA kubwa kwa kuzifananisha na vyuo vingine. Gentleman GPA ya MIT hauwezi kuifananisha na first class degree ya UDSM na Gentleman GPA ya UDSM hauwezi kuifananisha na first class ya Teofilo Kisanji.
Kila chuo huwa kinawaandaa wanafunzi wake waende kukiwakilisha kwenye soko la ajira, lengo la chuo sio ukalili wa common knowledge bali ni kumaster skills furani zinazo watofautisha wanafunzi wake na wanafunzi wa vyuo vingine.

Vyuo vingi huwa wanaweka kwenye Prospectus zao course structure na code, lakini hakuna kinachoweka specific modules na topic wanazofundisha kwa kuwa hizi modules ni sehemu ya mbinu za siri za mafanikio ya performance ya wanafunzi wao kwenye soko la ajira.

Hatuwezi kutumia mfumo unaotoa wahitimu watakao julikana kama matokeo ya mtaala furani wa nchi, mfano ana Bachelor ya Business Administration kutoka Tanzania, ni upumbavu sana.

Inapaswa kutambuliwa kwa vyuo walivyo toka kwa maana kila chuo kina viwango vyake vya udahili, namna wanavyopata wakufunzi na namna wanavyo wapima wanafunzi, mfano mtu aliyeweza kuwa enrolled kwenye chuo kama Havard ni dhahili kuwa yupo vizuri kwa viwango vya udahili wa Havard University mtu huyu hauwezi kupima ufaulu wake kwenye mtihani mmoja na mwanafunzi wa Oklahoma State University, kwanini hatuwezi kuwapima?

Havard University ina acceptance rate (AR) ya 5% tu, inamaana katika kila watu 100 wanao omba kujiunga na Havard watu 5 tu ndio hupata nafasi, wakati Oklahoma State University ina acceptance rate ya 70% yani kila watu 100 wanao omba basi 70 hupata nafasi.
AR inaonesha viwango vya uchaguzi wa wanafunzi wanaojiunga na chuo husika, maana AR ya chuo furani inapokuwa chini vilaza hawawezi kupata nafasi ya kujiunga na chuo hicho kwa kuwa ushindani wa kupata nafasi unakuwa mkubwa sana.
Vyuo vikubwa pia haviwezi kushare mitihani kwakuwa kila kimoja huwa kinawaandaa wahitimu wake kwa mbinu za hali ya juu ili waje kuwa bora kuliko wengine kwenye soko la ajira na sio kwenye chumba cha mtihani.

Swala la rushwa ya ngono litafutiwe njia nyingine ya kulidhibiti lakini hatuwezi kupima kilo moja ya dhahabu na kilo moja ya chuma kisha tuseme zina thamani sawa hapana. Kila chuo kiwaandae wanafunzi wake wawe dhahabu kwenye soko la ajira na sikuwafananisha na vyuma.
Watu watambulike kwa reputation ya vyuo vyao na si GPA walizonazo.
Kokote uliko agiza mke wa kuoa me nakutolea mahari, jibu la karne hili
 
Tatizo watu bado wanadhani elimu ni mashindano et uyu kapita A na yule kapata C kwaiyo uyu ana akili na yule kilaza. Wewe angalia umefundishwa nin then jiulize utakitumiaje icho ulichofundishwa kuendeleza maisha yako. Mambo ya GPA hayatakusaidia chochote, after all elimu ya chuo inamundaa mtu kufanya kazi ktk field yake, haya Mambo ya mitihani yamekuja ili tu kufanya watu wawe ktk track. Jikite ktk kutafuta ujuzi na si alama kubwa, kama unahisi chuo chako kinatoa elimu Bora basi shukuru Mungu kwani ilo litakusaidia wewe kuishi vizuri, huna haja ya kulalamika.
 
Back
Top Bottom