KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Leo nimemuona michelle obama akiwahutubia wanajeshi waliotoka Iraq kabka ya mumewe Bari kupanda stejini,papo hapo likanijia hilo swali wat if angekua salma kikwete ?ni sauti kiasi gani zingepazwa kwa kile ambacho kingeelezwa jk kuwa na ubia na mkewe kwenye urais?
Nadhani tunahitaji kubadili fikra na mitazamo yetu cuz behind every successful man there is a woman,we can't resist..
Nadhani tunahitaji kubadili fikra na mitazamo yetu cuz behind every successful man there is a woman,we can't resist..