Ingekua Bongo Huyu Angezua Neno

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,141
13,215
sagna.jpg
tizama kwa makini ninayemkusudia hapo na useme angezua neno gani
 
mara kidole cha kati mara tena kushikana nanihino ndio nini sasa khaaaaaaaaaaa
 
Kuna kipindi enzi za kina Petit alipokuwa pale England kuna mchezaji alisema wazi kuwa us.enge unaharibu soka, akashambuliwa sana...lakini hiyo ilikuwa ndio hali halisi
 
Mwisho wa siku watatuharibia ladha ya soka, maanake itakuwa kama hivi
 
Last edited by a moderator:
Kuna kipindi enzi za kina Petit alipokuwa pale England kuna mchezaji alisema wazi kuwa us.enge unaharibu soka, akashambuliwa sana...lakini hiyo ilikuwa ndio hali halisi

sasa nizamu ya ashley cole
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom