....ingebakia adhabu ya kifo tu ingekuwa afadhali, kuliko na hii nyingine,..

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
7,971
13,605
Kila kosa au amri lina/ina adhabu yake,kwa mujibu wa sheria. Wakati Mungu akiumba dunia hakukuwa na sheria au amri kwa mujibu wa maandiko(bibilia). Amri ya kwanza kabisa duniani ni USILE TUNDA LA MTI WA KATIKATI, na ukila adhabu yake ilikuwa ni kifo..nanukuu hakika siku mkila tunda la mti ule wa ktkt hakika mtakufa!. Ndivyo alivyowaambia Adam na Hawa. Hawa alikuwa wa kwanza kula tunda, then akampa na Adam, mungu alipowatokea pale bustani, badala ya kuwapa ile adhabu ya kifo papo hapo, akawafukuza bustanini,..adhabu ya kifo ikabaki palepale, akaongeza na nyingi ambaya ni ngumu zaidi "UTAKULA KWA JASHO" ardhi imelaaniwa kwa ajili yetu! Kiukweli adhabu hii ni ngumu sana..bora tungebakiziwa adhabu hii ya kifo kuliko kula kwa jasho, ila pamaja na hayo God is good.
 
nadhani angeacha ya kufa basi lazima ingekuwa balaa zaidi ndo maana kapunguza machungu kwa kukupatia hiyo ya jasho lako..
 
nadhani angeacha ya kufa basi lazima ingekuwa balaa zaidi ndo maana kapunguza machungu kwa kukupatia hiyo ya jasho lako..

we dada we! Usikute unavuna usipolima, na kukusanya usipotawanya.! Mama, umewahi kulima kwa jembe la mkono wewe? Umewahi kulala umesimama wewe?
 
....napenda sana simulizi hizi hasa hili la adhabu ya kifo. Kwa uelewa wangu mdogo nikitumia mfano wa mbuga za wanyama....hebu jiulize tukiwaondoa simba wote,chui,fisi,na wanyama wote wanaokula nyama haitapita miaka 10 kabla ya maafa kutokea...yaani malisho ya swala,nyumbu n.k yataisha. Kwangu binadamu kufa sio adhabu ni kanuni ya maumbile,..maumbile yanaji-balance
 
Back
Top Bottom