Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #161
Hii nayo kali mkuu. Ina maana siku zote mumewe alipokuwa hai akichelewa kurudi hajui yupo wapi? Mambo ya chumbani haya hayapaswi kusemwa hadharani."Toka umenioa hakika Leo ndio najua unakokwenda mpenzi wangu" ndio wake zetu hawa, pambafu Sana.