Shule gani hiyo?Nilikua na Mwalimu wangu Mnyaki, nilikua na enjoy sana mikwara yake
Alikua mkali yule mama
Wanyaki burudani sanaTuliosoma Wilaya ya Temeke wengi tulikuwa tunamjua mama mmoja mwalimu mkuu maarufu alikuwa anajulikana kama Mwailafu pia ni Mnyaki wa huko Tukuyu.
Huku shule za Das'lam
Aliyekuzaa vipi? Naye hafai?Ndugu yangu Infantry soldier, Wanawake ni miongoni mwa viumbe wa ajabu sana, Hivi unadhani kwanini Yesu hakuchagua mitume wanawake?.Wanawake hawafai hata Kwa bure.Si unaona Akina Halima Mdee na wenzake walivyowasaliti CDM wenzao?
Sad indeedAliyekuzaa vipi? Naye hafai?
Hapana,anafaa.Hapo mimi sija jenerolize.Aliyekuzaa vipi? Naye hafai?
Safi sana mkuu. Hakika unampenda mama yakoHapana,anafaa.Hapo mimi sija jenerolize.
Asante mkuu.Nampenda sana mama yangu.Safi sana mkuu. Hakika unampenda mama yako
Kuna familia Hadi Leo imebaki na mgogoro kutokana na maneno aliyoyasema Yule Mama wakati alipofiwa na mtoto wake.
"Mbona Mungu Kakuchukua wewe mwanangu, ulikuwa mstaarabu kushinda wote, Bora angemchukua Fulani kataja jina la mtoto mwingine" Yule aliyetajwa Hadi Leo anabif na yule Mama.
Ule msiba ulimuathiri Sana yule Mama kisaikolojia ni zaidi ya miaka 6 lakini bado hayuko sawa.
Kuna sauti moja ilikuwa inasambaa sana kwenye mitandao ilipotokea ajali ya Chang'ombe miezi ka miwili hivi imepita kama sio mmoja. Huyo dada alikwenda msibani Buza kumsindikiza shogaye aliyefiwa na mumewe kwenye ajali ile. Anasema yule dada alivyokuwa analia, kumlilia mumewe waombolezaji walibaki vinywa wazi.
Hayaandikiki wandugu
NiliifutaBasi wekamo hata hiyo sauti tuu tusikiemo. Mie nilipitwaa, tusimu twangu tulikiwa tumefungwa bandejii....
Nawomba nisikilizepo kidogoo, kisha ntakurudishia mweeeh..!!!
Basi sawaNiliifuta
Mkuu, unamuongelea yule yule mama ambaye mumewe alifariki katika ajali ya pale Chang'ombe?...Bora huyo jaman, yule mama hapo Dar, alifiwa na mmewe ana km mwez sasa, alilia maneno mazitoo mazito hakujali km kuna watoto wala nini? Jaman jaman ile audio hadi leo nnayo.
Sidhani kama Mods wataruhusu mtu kuweka humu audio clip inayobeba maudhui tata kama maneno yaliyojaa ukakasiBasi wekamo hata hiyo sauti tuu tusikiemo. Mie nilipitwaa, tusimu twangu tulikiwa tumefungwa bandejii....
Nawomba nisikilizepo kidogoo, kisha ntakurudishia mweeeh..!!!
Hakika alimuaibisha sana marehemu mumeweBora huyo jaman, yule mama hapo Dar, alifiwa na mmewe ana km mwez sasa, alilia maneno mazitoo mazito hakujali km kuna watoto wala nini? Jaman jaman ile audio hadi leo nnayo.
Duuh wamama jaman....kalilia mgegedo halafu mgegedo "hasi"
Inaumgana sana mkuu kwa maana siri nyingi za familia zinaanikwa hadharani kwa uwezo mdogo wa mtu mmoja kudhibiti hisia zakeDaaah...!
Nimejikuta naumia.