Ruud B Nyacki
Member
- Dec 31, 2012
- 24
- 7
Habari za muda huu wadau wa JF.
Nimepata taarifa za ndani kabisa,za kuhusu kujiunga na JKT kwa wale wanaotaka,
Habari za chini ya Carpet nilizozithibitisha kutoka chanzo cha ndani cha habari, zimebainisha kuwa
Nafasi za Wanaotaka Kujiunga na JKT zitatangazwa Tarehe 23 na 24 kwa baadhi ya Mikoa tu (Sijatajiwa Mikoa husika).
Km tarehe rasmi ya kufungua Maombi kwa wanaotaka Kujiunga.
So wale wenye Interest,ya ku Jiunga na jeshi la kujenga Taifa,
mjiandae mUda ndo huu
Nimeskia interview itafanyika baadhi ya mikoa tarehe 29 January.
Taarifa zaidi unaeza tembelea
website ya JKT kuanzia tarehe 23
Nimepata taarifa za ndani kabisa,za kuhusu kujiunga na JKT kwa wale wanaotaka,
Habari za chini ya Carpet nilizozithibitisha kutoka chanzo cha ndani cha habari, zimebainisha kuwa
Nafasi za Wanaotaka Kujiunga na JKT zitatangazwa Tarehe 23 na 24 kwa baadhi ya Mikoa tu (Sijatajiwa Mikoa husika).
Km tarehe rasmi ya kufungua Maombi kwa wanaotaka Kujiunga.
So wale wenye Interest,ya ku Jiunga na jeshi la kujenga Taifa,
mjiandae mUda ndo huu
Nimeskia interview itafanyika baadhi ya mikoa tarehe 29 January.
Taarifa zaidi unaeza tembelea
website ya JKT kuanzia tarehe 23