Ila infinix zinasifa
Dah.... do not disturb option itakuwa active....nenda kwenye sound & vibration...kisha disable do not disturb ...full stop π€£π€£π€£π€£Jamani hbari
Naomba kusaidiwa nin infinix hot 8, nikipigiwa haiiti, caller anaambiwa simu iko busy, Mimi nakuta missed call you.
Naombeni msaada
Asanteni
Hii pia nimefanya lkn bado ipo pale paleDah.... do not disturb option itakuwa active....nenda kwenye sound & vibration...kisha disable do not disturb ...full stop
Infinix ipi unaongelea au unataka kufurahisha genge?Ukiwasha data utumie zaidi ya saa moja unaweza idumbukiza kwenye maji lita 10 ya baridi na yakapata moto mzee hamna simu pale
Ndege ikipita juu inaandika missed call
Sjawai kuwaza kutumia hizo sm kak acha niwachekeUkiwasha data utumie zaidi ya saa moja unaweza idumbukiza kwenye maji lita 10 ya baridi na yakapata moto mzee hamna simu pale
Ndege ikipita juu inaandika missed call
Infinix, tecno, itel bdo znadosari unawez uskutane na dosar hyo ukaja kukutana na nyingne tofaut na hyo ukasem bora hiyo km ya jamaa apo muunda uziInfinix ipi unaongelea au unataka kufurahisha genge?
Nimetumia infinix 3 tofauti sijawahi kutana na kitu kama hiki
Si hautaki kuchanja ndio maana..π€£Mimi yangu nikiizima inawaka yenyewe....yaani ni kama nmeirestart...sijajua tatizo bado
Menu hii inakubali kuingia?Jamani habari
Naomba kusaidiwa nin infinix hot 8, nikipigiwa haiiti, caller anaambiwa simu iko busy, Mimi nakuta missed call you.
Naombeni msaada.
Asanteni.
*#*#4636#*#*
Menu hii inakubali kuingia?
Code:*#*#4636#*#*
Unaweza kua ume-reject incoming call pasipo wewe kujua.Jamani habari
Naomba kusaidiwa nin infinix hot 8, nikipigiwa haiiti, caller anaambiwa simu iko busy, Mimi nakuta missed call you.
Naombeni msaada.
Asanteni.