India yalipiza kisasi kwa Marekani, yaongeza ushuru kwa bidhaa zake baada ya Marekani kuongeza ushuru kwenye bidhaa za Chuma na Aluminium

Ila mkuu wa sasa km unachipua kwa kasi vile wewe unaonaje.?!
Ukirudi miaka ya nyuma mfano tu 15-20 nyuma, kumekuwepo na nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zikitofautiana na Marekani katika maswala mbalimbali na zingine ni nchi za kawaida tu.
Kinachotokea hivi sasa wala si jambo la kushangaza kwamba ni kwanini na wala hilo hali-justify kwamba upinzani kwa Marekani unazidi kuota mizizi. Kama ni upinzani basi upo tu tokea zamani.
 
Na nchi zenyewe zinauwezo!
India nayo imepania kununuwa S400 ya Russia na uhusiano wa India na China umeimarika Sana! Us ana mtanange mgumu sana!
USA Giant Eagle angezima kidogo Android na IOS, kwa siku 5. Ili tujue nguvu yake apa Duniani
 
U.S. is U.S.brother!
India ni masikini kuliko! Brazil ni masikini kuliko! Pamoja na Taiwan hawa ni level za South Africa na mrusi huko.

U.S. hakuna taifa la kulinganishwa nae, siandiki kishabiki ila ndio ukweli.
Yani ukiitaja Russia unaiona S.A ukiitaja China unaiona Uturuki, ukiitaja India unaiona Brazil yani hawa wana uchumi sawa!

Ila ukiitaja America kichwa lazima kikuume kwa sababu utakosa wa kumlinganisha nae.
Ukweli ndio huo, ingawa tunakuwa wabishi wa kutaka kuelewa
 
Asee wakubwa ktk pitapita zangu nikawa nachek"how USA loses China-USA trade war".
Embu iangalieni hii kitu.
Is Trump making America great again or destroying America,s reputation and greatness again ?!!

Wizara ya fedha ya India imetoa taarifa kuwa serikali yake imeamua kuongeza ushuru kwa bidhaa 28 zinazoagizwa kutoka Marekani zikiwemo lozi, maharagwe na walnut kuanzia tarehe 16 mwezi huu.

Mwezi Juni mwaka jana India ilianza kuandaa orodha hii ya bidhaa za Marekani zinazoweza kuongeza ushuru, ili kulipiza kisasi kutokana na Marekani kuongeza ushuru wa chuma na aluminium zinazoagizwa kutoka India.

Hapo awali India iliahirisha muda wa kuongeza ushuru wa bidhaa hizo, ili kuhimiza mazungumzo husika na Marekani. Lakini June 5 mwaka huu serikali ya Marekani ilitangaza kuiondoa India kutoka kwenye Mfumo wa Upendeleo GSP kwa kuwa India haitoi soko la haki na wazi kwa Marekani, na kusababisha uhusiano wa kibiashara kati ya nchi hizo mbili kuwa mbaya zaidi.
======


After extending the deadline for several times, India has decided to impose additional customs duties on 28 US products, including almond, walnut and pulses, with effect from June 16, sources said.

A notification with this regard will be issued by the finance ministry soon, they added.

The move will hurt American exporters of these 28 items as they have to pay duties on these products. India would get about $217 million additional revenue from such imports.


The government had on June 21, 2018, decided to impose these duties in retaliation to the US decision of significantly hiking customs duties on certain steel and aluminium products.

India has informed the US about its decision to go ahead with the retaliatory duties, the sources said.

America had in March last year imposed 25 per cent tariff on steel and a 10 per cent import duty on aluminium products. As India is one of the major exporter of these items to the US, the US decision has revenue implication of about $240 million on Indian steel and aluminium products.

The deadline for imposition of these duties was extended multiple times hoping that some solution would emerge during a negotiation between India and the US on a proposed trade package.

But those negotiations came to a halt following the decision of the US to withdraw export incentives to Indian exporters under its Generalised System of Preferences (GSP) programme. These benefits were rolled back from June 5. It would impact goods worth $5.5 billion from India to America.

As part of the imposition of higher import duties on 29 US products, India has notified higher tariffs on several goods.


While import duty on walnut has been hiked to 120 per cent from 30 per cent, duty on chickpeas, Bengal gram (chana) and masur dal will be raised to 70 per cent, from 30 per cent currently. Levy on lentils will be increased to 40 per cent.

The duty on boric acid and binders for foundry moulds would be hiked to 7.5 per cent, while that on domestic reagents will be increased to 10 per cent. Duty on artemia, a kind of shrimp, will be hiked to 15 per cent.

The other products on which duties will be hiked include certain kind of nuts, iron and steel products, apples, pears, flat rolled products of stainless steel, other alloy steel, tube and pipe fittings, and screws, bolts and rivets.

India has also dragged the US to the World Trade Organisation's (WTO) dispute settlement mechanism over the imposition of import duties on steel and aluminium.

India exports steel and aluminium products worth about $1.5 billion to the US every year.

India's exports to the US in 2017-18 stood at $47.9 billion, while imports were at $26.7 billion. The trade balance is in favour of India.
 
Na nchi zenyewe zinauwezo!
India nayo imepania kununuwa S400 ya Russia na uhusiano wa India na China umeimarika Sana! Us ana mtanange mgumu sana!
Uliwahi kuona wapi mtubaliyesoma Amerika akafika level ya kiongozi mkuu wa nchi bila kuitumikia Amerika? USA wanajua sana kucheza mchezo
 
Achana naye huyo jamaa! Hajui hata anachokitetea.
Hiyo GDP PPP ni ya 2019 au una macho mabovu?

Na hata ukichukua GDP per capita ya 2019 bado nchi kama quatar,Luxembourg, norway zitakua zinaongoza na zipo kwenye hiyo list kwa miaka mingi mno.
 
Nop mkuu tatizo huyu jamaa analeta kitu ambacho kishajadiliwa.
Mfano ww ulishaelekezwa kuhusu fluid mechanics ukaielewa ukasepa then linakuja lijialimu kutaka kukufundisha hikohiko huo si upathetic?!
Anachokieleza yeye kishaelezewa na jamaa kule juu asa analeta ubishani ambao ulishamalizwa kama sio uzaramo ni nn?!
Achana naye huyo jamaa! Hajui hata anachokitetea.
 
Back
Top Bottom