GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
India yasalimu amri kwenye gonjwa la corona, kirusi kinasambaa kwa kasi
WHO wameongea Leo kuwa sasa kirusi kinasambaa kwa kasi isiyotegemewa
Waziri mkuu wa India Narenda Modi anahutubia Taifa muda huu, India zaidi ya watu bilioni moja wanawekwa under lockdown kwa siku ishirini na moja
Amesisitiza familia maskini zitasaidiwa na makundi ya kijamii
WHO wameongea Leo kuwa sasa kirusi kinasambaa kwa kasi isiyotegemewa
Waziri mkuu wa India Narenda Modi anahutubia Taifa muda huu, India zaidi ya watu bilioni moja wanawekwa under lockdown kwa siku ishirini na moja
Amesisitiza familia maskini zitasaidiwa na makundi ya kijamii