Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Mkuu siyo Wairan waliotungua ndege yao ya abiria?Hii ya India huenda ilinipitaBila shaka ni mwaka jana au mwaka juzi walivyorushiana mizinga na Pakistan.
Mkuu siyo Wairan waliotungua ndege yao ya abiria?Hii ya India huenda ilinipitaBila shaka ni mwaka jana au mwaka juzi walivyorushiana mizinga na Pakistan.
Wairan waliitungua ndege yao ya abiria kipindi kile walivyofatua makombora kupiga kambi za Us nchini Iraq.Mkuu siyo Wairan waliotungua ndege yao ya abiria?Hii ya India huenda ilinipita
Habari ipo humu jamvini kwenye mapigano kati ya India na pakistanLini hiyo mkuu walipotungua ndege yao wenyewe?
Habari ipo humu jamvini kwenye mapigano kati ya India na PakistanLini hiyo mkuu walipotungua ndege yao wenyewe?
No walitungua ndege yao ya kijeshi wakipigana na PakistanWairan waliitungua ndege yao ya abiria kipindi kile walivyofatua makombora kupiga kambi za Us nchini Iraq.
Ila India walilipua ndege yao ya kijeshi nakumbuka kama sijakosea walivyorushiana makombora na Pakistan.
Hiyo ni issue ya kawaida kutokea kwenye nchi yenye kuzungukwa na maadui kama India. Friendly fire imeshatokea kwenye nchi zote zenye akili na jeshi imara unazojua wewe. Kuanzia US, UK, Russia, Germany na wapi inatokea. Mtu anayejua kidogo masuala ya air defense hawezi shangaa hiliWahindi hawajawahi kua serious hata siku moja hapa duniani.
Jamii ya kindezi sana yenye maamuzi ya kipuuzi.
Rejea ile ishu ya jeshi la India kutungua ndege yake yanyewe.
Lakini wahindi ndio wawekezaji wakubwa sana hapa Tz kwenye makampuni, biashara n.k.Wahindi hawajawahi kua serious hata siku moja hapa duniani.
Jamii ya kindezi sana yenye maamuzi ya kipuuzi.
Rejea ile ishu ya jeshi la India kutungua ndege yake yanyewe.
Jamaa anashangaza Yani anasema India haijawahi kuwa siliaz wakati nchi ya India ni miongoni mwa nchi ambazo zimeendelea.Watu wanamiliki hadi Silaha za Nyukilia.Lakini wahindi ndio wawekezaji wakubwa sana hapa Tz kwenye makampuni, biashara n.k.
Hivyo usitumie mfano mmoja kuwajumuisha wote.