kuweka tahadhari kwamba tunaona kila kinachoendeleaSijui kwa kuandika haya namna hii tunataka nini.
Ni kuhusu marekebisho ya sheria ya vyama vya siasaNi kipengele cha katiba ambacho kwa madai yao wanadhani kinawapa uhalali kuwakufanya mikutano ya hadhara. Surely kama lengo ni kuwa nchi ya amani hakuna kipengele kingine ambacho kinaweza kuwa vingine labda kuna issue za misinterpretation of purposes
Zitto na Rungwe na bashange.kuweka tahadhari kwamba tunaona kila kinachoendelea
Kuna aspect kweli za hiyo sheria ambazo sio sahihi na zinaingilia taratibu za kiuendeshaji wa vyama vya siasa huko hakuna anaepinga.Ni kuhusu marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa
Mkuu naona unachanganya mambo, aliyekemea mikutano ya hadhara ni JiweKuna aspect kweli za hiyo sheria ambazo sio sahihi na zinaingilia taratibu za kiuendeshaji wa vyama vya siasa huko hakuna anaepinga.
Lakini hili la mikutano ya hadhara walete article ata moja ya wazungu ambayo directly imewahi kukemea Tanzania kuzuia mikutano ya hadhara.
Uwezi kukuta mwandishi wao anatumia hilo neno specifically ban of public rallies (sababu anajua huo ni uchochezi) sanasana atatumia general terms kama ukandamizaji wa demokrasia neno ambalo linamfanya msomaji yeye mwenyewe ajazie.
We mwenye jipya si ufanye kitu, nchi ikukumbuke japo kwa kuacha utaratibu mzuri wa kuongozana ??!!!Zitto na Rungwe na bashange.
Hamna jipya hao woote wachumia tumbo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na abakie na msimamo huo huo mikutano ya hadhara noMkuu naona unachanganya mambo, aliyekemea mikutano ya hadhara ni Jiwe
haya huyawezi , hapa hakuna ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooSijui kwa kuandika haya namna hii tunataka nini.
Nimeisoma sana, Ramadhani abrogated his duty! As long as haki inavunjwa, the judiciary has to intervene!Mkuu kuna Precedent ya kesi ya Indeoendent Candidate..Augustino Ramadhani..alisema swala lq bungeni limalizwe bungeni
Why people resort to public rallies? Why should there be public rallies?Kuna aspect kweli za hiyo sheria ambazo sio sahihi na zinaingilia taratibu za kiuendeshaji wa vyama vya siasa huko hakuna anaepinga.
Lakini hili la mikutano ya hadhara walete article ata moja ya wazungu ambayo directly imewahi kukemea Tanzania kuzuia mikutano ya hadhara.
Uwezi kukuta mwandishi wao anatumia hilo neno specifically ban of public rallies (sababu anajua huo ni uchochezi) sanasana atatumia general terms kama ukandamizaji wa demokrasia neno ambalo linamfanya msomaji yeye mwenyewe ajazie.
Naomba ulisemee na hili kwa upande mwingine wa udikiteitaVyama vya upinzani ni madikteta hatari mno; ukiachana na viongozi wake kukaa katika nafasi zao kwa muda mrefu lakini bado pia wanataka kila jambo lifanyike wanavyotaka wao.