Incubators: Changamoto zake, Jinsi ya kupata ufanisi mzuri na mafanikio zaidi kwenye incubator yako

mini-112-chicken-eggs-incubator-automatic-egg.jpeg
sasa ipo dukani. Incubator mpya ya kisasa kabisa kwa sh 550,000. Full automatic. Vifaranga kufia kwenye mayai sasa ni basi.
 
Jipatie Incubator za kisasa za sola na umeme za mayai 32-120
Full automatic, inageuza yenye mayai na pia ina ultrasonic Humidifier kwa ajili ya kuongeza unyevu, zinatumia solar, betri na pia umeme wa kawaida.
Bei zetu kwa sasa ni kama ifuatavyo:
incubator ya mayai 32A ni 240,000
incubator ya mayai 48 ni 350,000
incubator ya mayai 56 ni 420,000
incubator ya mayai 96 ni 490,000
incubator ya mayai 112 ni 530,000
incubator ya mayai 120 ni 550,000
zote ni full automatic na zinatumia umeme+solar/betri
IMG_20190116_140556.jpg
IMG_20190116_140501.jpg
IMG_20190116_140025.jpg
IMG_20190116_134404.jpg

Piga/whatsapp/sms 0755571604 au 0718106434 na 0783095169 .
Tupo karibu na mwanachi relini Tabata. Popote ulipo tutakufikia.
 
Jipatie Incubator za kisasa za sola na umeme za mayai 32-120
Full automatic, inageuza yenye mayai na pia ina ultrasonic Humidifier kwa ajili ya kuongeza unyevu, zinatumia solar, betri na pia umeme wa kawaida.
Bei zetu kwa sasa ni kama ifuatavyo:
incubator ya mayai 32A ni 240,000
incubator ya mayai 48 ni 350,000
incubator ya mayai 56 ni 420,000
incubator ya mayai 96 ni 490,000
incubator ya mayai 112 ni 530,000
incubator ya mayai 120 ni 550,000
zote ni full automatic na zinatumia umeme+solar/betri
View attachment 997426View attachment 997427View attachment 997428View attachment 997429
Piga/whatsapp/sms 0755571604 au 0718106434 na 0783095169 .
Tupo karibu na mwanachi relini Tabata. Popote ulipo tutakufikia.
Asante sana kwa hii.
Solar kuanzia watts ngapi inaweza kuendesha hiyo ya mayai 120 mkuu?
Pia, kama una incubator ya mayai 120, je ni lazima yatimie yote ndio uwashe incubator?
Asante
 
Asante sana kwa hii.
Solar kuanzia watts ngapi inaweza kuendesha hiyo ya mayai 120 mkuu?
Pia, kama una incubator ya mayai 120, je ni lazima yatimie yote ndio uwashe incubator?
Asante
Kuhusu matumizi ya sola inategemea unataka kuitumia kwa masaa mangapi na sola, kama ni kwa masaa 6 utahitaji solar panel 1 ya 100W na betri 1 ya 200Ah 12V na kama ni masaa 24 utahitaji solar panel 2 za 200w na betri 3 za 200Ah 12v.(incubator inatumia 160W kwa saa)
Sio lazima ujaze mayai yote 120 ndio uiwashe hata ukiiwasha bila mayai hakiaribiki kitu zaidi ya umeme kupotea basi.
 
Kuhusu matumizi ya sola inategemea unataka kuitumia kwa masaa mangapi na sola, kama ni kwa masaa 6 utahitaji solar panel 1 ya 100W na betri 1 ya 200Ah 12V na kama ni masaa 24 utahitaji solar panel 2 za 200w na betri 3 za 200Ah 12v.(incubator inatumia 160W kwa saa)
Sio lazima ujaze mayai yote 120 ndio uiwashe hata ukiiwasha bila mayai hakiaribiki kitu zaidi ya umeme kupotea basi.
Nahitaji mpaka.mayai yaanguliwe.
Je, incubator inatakiwa iwake 24hrs kwa siku zote 21?
 
Hii table inaonyesha siku za kutotolesha mayai ya aina ya ndege na kiasi cha joto na unyevu unachotakiwa kuseti kwa ndege husika. Kwa hiyo kuku ni siku 21, bata maji siku 28, bata mzinga siku 30 nk
2016-12-05_15-02-51.jpg
 
Mimi nimetengeneza incubator kwa msaada wa Umar workshop YouTube... Nimeitest na kufanya ikiwa tupu kwa wiki nzima na nimejihakikishia 80% itafanya kazi vzr
IMG_20190627_204223_3~2.jpeg
 
Kulingana na utafiti uliofanywa, matatizo ya uzalishaji wa kuku ambayo wafugaji wa kuku wanakabilina nayo kwa kutumia mashine za kutotolesha vifaranga na huchangiwa na mambo yafuatayo:

1. Wafugaji hawafuati maelekezo ya kutumia incubator (mashine ya kutotolesha vifaranga).

2. Wafugaji hawajaribu (test)kwanza utendaji wa Incubator tupu, ili kupata uzoefu wa kurekebisha joto na unyevu, vitu/hali ambavyo ni muhimu sana kwa ufanyaji kazi sahihi wa Incubator.Kabla ya kuweka mayai yako katika Incubator, unapaswa kuiwasha kwa angalau wiki moja ili kuweza kuelewa jinsi inavyofanya kazi.

3. Wafugaji husahau kujaza maji kweye beseni (basin) la incubator hivyo husababisha mayai kukauka na kutokutotolewa.

4. Wafugaji hushindwa kuchagua mayai bora na yaliyorutubishwa ya kuweka kwenye incubator kwa kuyaangalia (scanning) kwa kutumia tochi ama egg candle.

5. Wafugaji kusahau kugeuzageuza mayai mara kwa mara ikiwa incubator zao hazina mfumo wa automatic wa kugeuza mayai; hii husababisha mayai kukaangwa (frying).Matokeo ya haya husababisha wafugaji hupata hasara, kuvunjika moyo, kukata tamaa na kuishia kulalamika kuhusu ubora wa incubator.

Kimsingi incubator yeyote mfugaji atakayochagua, mafanikio ya kutotolewa mayai yote, kwanza kunategemea juu ya ubora na urutubishwaji (fertility) wa mayai yanayokwenda kutotoleshwa, na pili, juu ya uangalifu na usimamizi wa Incubator. Jinsi utakavyoindesha vizuri ndivyo utakavyopata mafanikio zaidi. Umewekeza au unapanga kuwekeza fedha zako, basi unapaswa kuwa mweledi (professional) vinginevyo utapoteza fedha zako pamoja na mayai. Ufanisi wa matumizi bora ya Incubator ndogo unapatikana pale ambapo 80% hadi 90% ya mayai yanapofanikiwa kutotoleshwa vizuri.

Hizi ni baadhi ya dondoo tutakazo kuwa tunapeana juu namna ya kupata matokeo bora kwa incubator yako.
Pia tunauza incubator bora na za uhakika kwa bei nafuu. Incubator zetu ni mpya, (full automatic)zinatumia kompyuta ndogo kudhibiti kiasi cha joto na unyevu, zinageuza-geuza mayai zenyewe, zina feni 2 za kusambaza kiasi sawa cha joto na unyevu kwenye mayai. Mashine zetu zinatumia kiasi kidogo cha umeme, pia zinaweza kuhifadhi joto na unyevu kwa hadi ya masaa 5 mara baada ya kukatika umeme hivyo kukupa nafasi ya kuunganisha generator bila mayai yako kuathirika kwa kukatika umeme.Tuwasiliane kwenye 0783 095 169 au 0755 571604 ikiwa utahitaji incubators zetu.

Nawatakia mafanikio kwenye miradi yenu ya ufugaji


Go direct to the point kuwa unauza incubator badala ya kuweka mwishoni kabisa.
Alafu kuna kitu muhimu kabisa hujasema au kwa sababu wewe ni muuzaji.
Kuna watu wanajiita mafundi wa kutengeneza incubator lakini wamevamia fani.
Niliwahi kununua incubator ya mayai 700++ nilikoma ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nalipa umeme laki 2 na nusu.
Nikaja kugundua baadaye tatizo lipo kwenye aina ya incubators hizi tunazotengenezewa watengenezaji wengine wa incubators ni feki balaa.
 
Habari, nini kinachosababisha vifaranga wafie katika mayai?. Yaani siku zinakuwa zimefika wengine wanatotoreka wengine wanafia mayayini
 
Go direct to the point kuwa unauza incubator badala ya kuweka mwishoni kabisa.
Alafu kuna kitu muhimu kabisa hujasema au kwa sababu wewe ni muuzaji.
Kuna watu wanajiita mafundi wa kutengeneza incubator lakini wamevamia fani.
Niliwahi kununua incubator ya mayai 700++ nilikoma ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nalipa umeme laki 2 na nusu.
Nikaja kugundua baadaye tatizo lipo kwenye aina ya incubators hizi tunazotengenezewa watengenezaji wengine wa incubators ni feki balaa.
Kuhusu suala la matumizi ya umeme niliwahi kuliandikia kwenye post za mwanzoni… shida ni namna ya kutafsiri vipimo vya umeme kuja kwenye uhalisia.
Kwa mfano mashine ya mayai 1056 inayotumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W.(zipo pia zinazotumia 300W, 400W na zaidi)
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs.(weka bei ya sasa kama kwa tarrif uliyopo)
Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.

Kwa hiyo mwenye mashine ya 1056 ila ya 400W atajikuta anatumia umeme mara mbili ya mtu mwenye mashine ya mayai 1056 ya 200W.
So pole sana kwa yaliyokukuta mkuu.
 
Kuhusu suala la matumizi ya umeme niliwahi kuliandikia kwenye post za mwanzoni… shida ni namna ya kutafsiri vipimo vya umeme kuja kwenye uhalisia.
Kwa mfano mashine ya mayai 1056 inayotumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W.(zipo pia zinazotumia 300W, 400W na zaidi)
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs.(weka bei ya sasa kama kwa tarrif uliyopo)
Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.

Kwa hiyo mwenye mashine ya 1056 ila ya 400W atajikuta anatumia umeme mara mbili ya mtu mwenye mashine ya mayai 1056 ya 200W.
So pole sana kwa yaliyokukuta mkuu.

Unachozungumza hata hujafika robo ya nilichokisema. Kama huna jibu nyamaza
 
Habari, nini kinachosababisha vifaranga wafie katika mayai?. Yaani siku zinakuwa zimefika wengine wanatotoreka wengine wanafia mayayini
Kiwango cha joto na unyevu kwa hasa siku ya 18 hadi 21 ni muhimu sana ili vifaranga waweze kuanguliwa vizuri. Aidha kiwango cha joto kinapozidi nyuzi 37.5C na kiasi cha unyevu kuwa chini ya 68% husababisha pia kiasi cha majimaji yaliyopo ndani ya yai kupotea na hivyo hufanya kifaranga kukauka na kujishika kwenye ganda la yai hivyo kushindwa kutoka.
Inashauriwa kiwango cha joto kiwe 37.2C na kiasi cha unyevu kiwe zaidi ya 72%.

Pia zingatia sana ubora wa mayai kwa kuwa na kuku wazazi wenye afya na waliopata chanjo zote ili kuepuka magonjwa ya kurithi toka kwa kuku kwenda kwa vifaranga wake. Ukweli ni kwamba siku zote ubora wa mashine hauwezi kuzidi ubora wa mayai. Mayai yenye afya bora yakiwekwa kwenye mashine yenye ubora mdogo bado yanaweza kuanguliwa lakini mayai yenye afya mbovu hayawezi kuanguliwa kwenye mashine bora.
 
Eco Farms Innovatives tunakuletea mashine mpya za kisasa kabisa za mayai 60, 120, 180, 240 na 300. Ni mashine zilizoboreshwa zaidi zinazotumia teknolojia ya kisasa kabisa na zenye ufanisi mkubwa Sana. Pia zinapokea umeme wa kawaida, jua ama betri ya 12v
Incubator ya mayai 60 ni sh 400,000 ya mayai 120 ni sh 600,000 ya mayai 180 ni sh 750,000 ya mayai 240 ni 850,000 na ya mayai 300 ni sh 990,000
Mashine ya mayai 240 na ya mayai 300 Inaweza kuicontrol kwa kupitia smartphone kwa kifaa cha wifi kilichopo kwenye mashine.
Tupo mkabala na shule ya Yusufu Makamba barabara ya Jeshini ukitokea Ubungo External kwenda Tabata Kimanga.
Tupigie 0783 095169 au 0755 571604 na tembelea ukurasa wetu wa Eco Farms Innovatives
lidow_201910175816552.jpg

lidow_2019101821590.jpg

lidow_20191018536490.jpg

lidow_201971793245541.jpg

IMG_20190929_113347_1.jpg

IMG_20190929_113340.jpg

IMG_20190929_120818.jpg
 
Fanya 'egg candling' (kumulika mayai na tochi) angalau mara tatu ili kufuatilia mchakato wa utotoleshwaji wa mayai.

Hii huwezesha kujua mayai yaliyorutubishwa na yasiyorutubishwa, mayai ambayo mbegu ilikufa ndani ya wiki 1 baada ya kuwekwa kwenye mashine na mayai halisi unayotegemea kupata vifaranga.

Ikiwa pia mayai hayakutoa vifaranga usiyatupe bila kuchunguza tatizo lilikuwa wapi. Mfano virafanga wanaweza kufika kwenye mayai kabla ya kuanguliwa kutokana na aidha kiwango kidogo sana cha unyevu au kiwango kikubwa cha joto. Hivyo itakusaidia kujua nini cha kuboreshwa wakati ujao.

Kwenye ujasiriamali kuna kijifunza wakati wote, usikate tamaa kwa kushindwa mara moja tu. Jua chanzo cha tatizo liko wapi na rekebisha usonge mbele.
Nakutakia mafanikio tele kwenye ujasiriamali wako.
615ctCLEi9L._SL1000_.jpeg
 
Fanya 'egg candling' (kumulika mayai na tochi) angalau mara tatu ili kufuatilia mchakato wa utotoleshwaji wa mayai.

Hii huwezesha kujua mayai yaliyorutubishwa na yasiyorutubishwa, mayai ambayo mbegu ilikufa ndani ya wiki 1 baada ya kuwekwa kwenye mashine na mayai halisi unayotegemea kupata vifaranga.

Ikiwa pia mayai hayakutoa vifaranga usiyatupe bila kuchunguza tatizo lilikuwa wapi. Mfano virafanga wanaweza kufika kwenye mayai kabla ya kuanguliwa kutokana na aidha kiwango kidogo sana cha unyevu au kiwango kikubwa cha joto. Hivyo itakusaidia kujua nini cha kuboreshwa wakati ujao.

Kwenye ujasiriamali kuna kijifunza wakati wote, usikate tamaa kwa kushindwa mara moja tu. Jua chanzo cha tatizo liko wapi na rekebisha usonge mbele.
Nakutakia mafanikio tele kwenye ujasiriamali wako.View attachment 1223643
Hili Jambo limenitokea mpk nikakata tamaa Ila baada ya kusoma hii comment, nimepata nguvu zaidi
 
Hili Jambo limenitokea mpk nikakata tamaa Ila baada ya kusoma hii comment, nimepata nguvu zaidi
Pole kwa changamoto aisee. Kwenye ujasiriamali hasara ni mojawapo ya sehemu ya kujifunza. Hope utafanikiwa tu usikate tamaa.
 
Fahamu muda ambao ndege hutumia kuangua vifaranga.

Moja ya swali ambalo huulizwa sana ni kuhusu muda utakaotumiwa incubators kutotolesha vifaranga. Wengine hudhani kwa vile anatumia mashine basi mashine itatumia muda mfupi zaidi kutotolesha kuliko kuku, bata au ndege mwingine. Hapana.
Egg incubators zote zimebuniwa kutoa maziringira sawa kabisa na ndege wakati wa kutotolesha. Mfano joto analotoa kuku wakati wa kutamia ndio sawa na joto linalotakiwa kusetiwa kwenye mashine, kuku hugeuza mayai yake kwa kutumia mdomo na miguu yake, incubator nazo zinageuza kwa kutumia moto.

Kwa hiyo incubators huchukua muda sawa na wa ndege husika kutotolesha vifaranga bila kuongeza siku wala kupunguza siku. Faida kubwa ya incubator ni kuwa unaweza kutotolesha vifaranga wengi kwa wakati moja tofauti na kutegemea ndege husika.
71CkyjCD9VL._SL1500_.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom