Kachero Mmakonde
Member
- Oct 13, 2016
- 19
- 24
Mh Rais tunakuomba utusaidie vitu hivyo viwili tu huku ukiendelea na maboresho mengine ila ukituuacha hivi tunaumia sasa utumishi wa Umma imekuwa Adhabu ,plzzzz Tuonee huruma sisi binadamu kama binadamu wengine mahitaji yameongezeka tunania ya kulitumikia taifa hili ila sio kwa mtindo huu maana tumevumilia saana .
Ahsante
Mwl Abas
Tandahimba
Ahsante
Mwl Abas
Tandahimba