Incontrovertible history: Waambie watoto wako..simulia vizazi vijavyo...ccm colonisation

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Colonisation of Portuguese and Arab

1498 - Portuguese explorer Vasco da Gama visits Tanzanian coast.
1506 - Portuguese succeed in controlling most of the East African coast.
1699 - Portuguese ousted from Zanzibar by Omani Arabs.


Colonisation of German

1884 - German Colonisation Society begins to acquire territory on the mainland.
1886 - Britain and Germany sign an agreement allowing the Germans to set in Tanzania
1905-06 - Indigenous Maji Maji revolt suppressed by German troops.


Colonisation of British

1916 - British, Belgian and South African troops occupy most of German East Africa.
1919 - League of Nations gives Britain a mandate over Tanganyika - today's mainland Tanzania.
1929 - Tanganyika African Association founded.
1946 - United Nations converts British mandate over Tanganyika into a trusteeship.
1954 - Julius Nyerere and Oscar Kambona transform the Tanganyika African Association into the Tanganyika African National Union.


Total Independence

1961 - Tanganyika becomes independent with Julius Nyerere as prime minister.
1962 - Tanganyika becomes a republic with Nyerere as president.


1963 - Zanzibar becomes independent.
1964 - Sultanate of Zanzibar overthrown by Afro-Shirazi Party in a violent, left-wing revolution;


1967 - Nyerere issues the Arusha D., which calls for egalitarianism, socialism and self-reliance.



Colonisation of CCM

1977 – 2005

1977 - The Tanganyika African National Union and Zanzibar's Afro-Shirazi Party merge to become the Party of the Revolution, which is proclaimed as the only legal party

Undated events


1. IPTL scandal
2. Kufukia watu migodini
3. Wizi wa kura za urais (2000,2005,)
4. Kuleta matabaka, kueneza udini
5. EPA scandal
6. Kutorosha Wanyamapori
7. Kuua reli ya kati ili kuleta malori yao
8. Scandal za vyombo vya majini (mv bukoba na spice island)
9. Kuua viwanda vya ndani
10. Kuua mali ghafi za ndani kwa kuleta vya nje kama kuku
11. Posho Scandal kwa wabunge wa chama tawala
12. Kujilimbikizia mali
13. Kutoboresha huduma za jamii
14. Richmond scandal..symbioni….
15. Umeme wa urgent scandals
16. Kuua watu arusha
17. Kuua watu mbalimbali
18. Kutotoa mikopo ya elimu ya juu kwa usawa
19. Kujilimbikizia mali na kuweka nje ya nchi….vijisenti
20. Kutowachukulia hatua watuhumiwa wa ufisadi
21. To kill innocent citizen whom they promised to protect them at any cost
22. Road construction scandals
23. Chinese invasion scandals



2005-2014 Colonisation of CCM under the Strong Support of Chadema

1. xxxxxxxxx
2. Chadema killed hopes of most Tanzanians to rescue them from CCM's power
3. Chadema's actions and habits are copy from CCM ( Cut and Paste)
4. Chadema being silent in EFDs machine
5.Chadema participates on elections that they know for sure things are not okey, but anyway ''lets participate'' since they earn money, later they come out lamenting and making noise things were not okey, refer my post
6. Chadema expel/excommunicate people/member who challenge or might have different ideology from their leaders
7. Chadema in constant conflict within the party and have a little time to think how to help society
8. Chadema in a big scandal to silent people within the party using billions of money
9. Chadema do not think/give out the solutions of many problems pertinent to Tanzanians, no single solution ever Recorded that Chadema have suggested to to solve problems
10. Chadema proudly to participate in Bunge la Katiba of which they know for sure majority will favor CCM
11. chadema does everything in any how to earn money and popularity for their personal gains
12. There is no any current/existing member who known to make solid argument for benefit of society
 
Correction please: It was 1497 moreover, Vasco Da gama never set foot in Kilwa, he remained in his vessel, his companions are the one who went ashore. (there was no Tanzania then, it was Zinjibar).

Thanks sister!
 
what does 'very, very good' mean?

by the way, Wabs could have put it better than that...

For some who knows trig functions and their complements... i smell some double IDs around you! If I use prosthaphaeresis I can tell exactly what is your other ID. Nice game though :)
 
Tunayo tena ndeefu sana, unajuwa ardhi hii ndio kuna fuvu la mtu wa kale zaidi duniani. Unajuwa historia inatuambia hata watu wa Fiji wanaamini kuwa walitokea ardhi hii. Unajuwa hata watu wa pembe (yes, pembe) "Dhul Qarnein" wameacha historia yao ardhi hii.

Tuna historia kubwa ajabu lakini hatuna watafiti wa historia. Ikiwa hata historia ya miaka chini ya 100 nyuma ambayo wapo walioiishi leo hii inachakachuliwa. Tuna mengi ya kujifunza. Saa nyingine hunijia mawazo kuwa ilikuwa "too early" kutaka madaraka. Bado mawazo na fikra zetu zinaishi kwenye karne zilizopita.

Hebu niambie kweli mtu ana plan mji miaka 20 au 30 nyuma anaweka mitaa kama unayoiona buguruni na sehemu zingine za miji?

Mjerumani ka plan miji miaka 100 nyuma na aliweka barabara za kutosha (tazama Tanga). Kusoma hakujatusaidia tulichokosa ni elimu, na elimu huwa haipatikani ndani ya kuta nne za madarasa pekee. Bado sana.

Tunaongozwa na vikuvi,vihiyo,vichimbi,Vikulo, nk kila kitu wanachakachua.
 
Correction please: It was 1497 moreover, Vasco Da gama never set foot in Kilwa, he remained in his vessel, his companions are the one who went ashore. (there was no Tanzania then, it was Zinjibar).

so since 1977 up to now there is no correctio. Good girl
 
Ipo lakini haina "colonisation"

1963 - Zanzibar becomes independent.
1964 - Sultanate of Zanzibar overthrown by Afro-Shirazi Party in a violent, left-wing revolution;

Hiyo ni nini hapo juu. Uhuru toka kwa nani, alitawala kuanzia lini? Ulitakiwa uanzie historia hiyo ndiyo uje 1894, otherwise 1963 and 1964 is meaningless.
 
Tunayo tena ndeefu sana, unajuwa ardhi hii ndio kuna fuvu la mtu wa kale zaidi duniani. Unajuwa historia inatuambia hata watu wa Fiji wanaamini kuwa walitokea ardhi hii. Unajuwa hata watu wa pembe (yes, pembe) "Dhul Qarnein" wameacha historia yao ardhi hii.

Tuna historia kubwa ajabu lakini hatuna watafiti wa historia. Ikiwa hata historia ya miaka chini ya 100 nyuma ambayo wapo walioiishi leo hii inachakachuliwa. Tuna mengi ya kujifunza. Saa nyingine hunijia mawazo kuwa ilikuwa "too early" kutaka madaraka. Bado mawazo na fikra zetu zinaishi kwenye karne zilizopita.

Hebu niambie kweli mtu ana plan mji miaka 20 au 30 nyuma anaweka mitaa kama unayoiona buguruni na sehemu zingine za miji?

Mjerumani ka plan miji miaka 100 nyuma na aliweka barabara za kutosha (tazama Tanga). Kusoma hakujatusaidia tulichokosa ni elimu, na elimu huwa haipatikani ndani ya kuta nne za madarasa pekee. Bado sana.

Sasa FF watawala wenyewe ndio hao wanaojitapa wamethubutu na wameweza na wanasonga mbele tufanyeje bila mageuzi ya utawala?
 
Nadhani hapo ndio kwenye tatizo kubwa sana, tatizo la kungoja viongozi, haijaishi ni jina lipi linakuongoza, kama wewe mwenyewe hujajuwa kujiongoza hata ashuke Malaika kwako itakuwa kazi bure tu.

Tunaona mpaka leo Tanzania hii bado watu wanahangaika kwa kuongelea watu, ambao ni upumbavu wa hali ya juu. Kinachotakiwa ni kuongelea na kuzama katika maarifa "ideas". Nini unakifanya ili kiwe mfano wa kuigwa na si nini unafanyiwa. Wewe kama binaadam mwenye akili timamu uliepelekwa shule na wazazi wako nini unakiongoza au vipi unajiongoza? Jee, unajiongoza kwa kwenda kutafuta jina la kukuongoza? Ikiwa ni hivyo ndivyo tunavyofikiri basi bado sana, hata miaka mia ijayo. Kiongozi anategemea wewe ukoje ili awe kiongozi mzuri, sio yeye yukoje au nani.

Ukitaka kusafiri kwenda kokote leo hii, tuchukulie mfano unaamuwa kwenda Mwanza, ni wewe unaeamuwa utatumia basi au ndege au lifti. Na utapokwisha amuwa huo usafiri, kwa kuwa umeshaamuwa kwenda na ndege, unakata tiketi, unafanya booking, unakwenda airport, unaipanda ndege, rubani anakuongozea ndege mpaka inafika uwanja wa ndege Mwanza. Ukifika huko ni wewe unaeteremka na kuanza yaliyokupeleka huko. Hebu niambie kuna mtu aliekuongoza hapo au ni wewe mwenyewe? Lakini ukikaa ukangoja kiongozi ndio akufanyie hayo, utakaa mpaka ufe Mwanza hautaiona.

Kitu kimoja ambacho kinanisukuma kusema wakati wa kujitawala ilikuwa bado. Ilikuwa kwanza tuelewe namna ya kujilea kuwa watendaji na sio watendewaji. Wenzetu, kwa tuliobahatika kuishi nchi za magharibi na mashariki wapo tofauti sana na sisi, si katika uongozi tu, uongozi huanzia nyumbani. Vitu viogo sana wanavyoanza kufundishwa nyumbani ndio vinawajenga wanakuwa watendaji wazuri baadae, wakiwa na elimu kubwa au ndogo, wakiwa ma engineer au mafundi wa kawaida tu, wakiwa washoni au wabunifu, huwa ni tofauti.

Wenzetu huanza kwa kufundishwa kujitegemea kuanzia nyumbani. Kwanza mtoto hapewi "pocket money" bila kui "earn" (kuifanyia kazi). Pili, mtoto anaishi akijuwa kuwa akifika miaka 18 si mtoto tena na ni mtu mzima na anatakiwa asiendelee kubaki nyumbani labda kuwe na "arrangement" maalum. Tatu mtoto halelewi kuwa anafanyiwa "favour" na wanaomlea ili akikuwa ailipe hiyo "favour". hulelewa kama wajibu na haki yake kulelewa ili ajitegemee na asiwe tegemezi wala asitegemewe.

Tukiyajuwa hayo matatu kwa kuanzia, tutapiga hatua kubwa baada ya vizazi viwili au vitatu vijavyo. Bila hayo, tungoje "fate" kama ilivyo kawaida yetu, kila kitu tunakitafutia sababu ya kushindwa kwetu na si wapi tumekosea tuanze kurekebisha, hapana, sisi tayari tunatafuta ni nani wa kumsukumia lawama.

Bado sana maendeleo ikiwa bado tunangoja viongozi watuletee maendeleo.

Ni kweli kuna mchango wa kila mtu unahitajika, hilo halina ubishi. lakini pia watu wenye mandate ya uongozi hasa wa wa taifa, wana mchango mkubwa sana. Sisi wote tunachangia pato la taifa katika matumizi yetu yote tangu asubuhi mpaka jioni. tunachohitaji hao wenye mamlaka ya kukusanya mapato hayo na kuyapanga kwa ajili ya faida yetu sote, wanafanya kazi hiyo kwa uaminifu. kuna mali ambazo ni za taifa, mfano mali asili kama wanyama, madini nk. hivi kama vinatumika kwa faida ya taifa, na kwa maslahi ya taifa, tutapiga hatua mbele haraka. na pia kama tuna sheria, na vyombo vya kuhakikisha sheria zinafuatwa, basi vifanye kazi.

kama mtu anajua kabisa kwamba hailipi kuingiza gari bovu barabarani, kwamba itakula kwake, hatofanya hivyo. ajali zitapungua. kama mtu anajua kwamba kutupa taka ovyo hailipi, atatunza usafi. kama mtu anajua kwamba kula rushwa hailipi, atafanya kazi yake ya halali kihalali. tukubaliane kwamba sheria zilizopo zikisimamiwa tena kwa maslahi ya taifa, tutakuwa na unafuu mkubwa na tutapiga hatua za maendeleo. haiwezekani kuliambia kundi la watu wafanye kitu fulani kama hakuna taratibu zinazotuwezesha kufanya hicho kitu. kwa hiyo mchango wa viongozi ni mkubwa sana katika kuweka taratibu. kwa upande mwingine, kama kila mfanyakazi anajua fika kwamba viongozi wanakula huko juu, basi wengi watafuata mkumbo na kuchukua chao mapema. na kama viongozi wa ngazi za chini wanawekwa kwa maslahi ya watu wa juu, na sio kwa kutumikia wananchi, utakuwa na kundi la viongozi ambao ni washirika wa kufuja mali na hapo ni vurugu kubwa. kila mtu atakuwa anataka kumzidi mwenzie katika ulaji. Zamani tulizoea kusikia "cheo ni dhamana" siku hizi cheo kinaitwa "ulaji". sio huduma tena kwa wananchi ila ni ulaji kwako binafsi na familia yako na mtandao wako.

tukitaka kuondoka hapa mabadiliko ya uongozi ni lazima, na kwa mpango huo, hao viongozi waongoze mapambano ya kubadili jamii yetu. kubadili jamii sio kazi kubwa sana. watanzania sio wagumu kufuata sheria. ila kuharibu ni rahisi sana kuliko kujenga
 
Tunayo tena ndeefu sana, unajuwa ardhi hii ndio kuna fuvu la mtu wa kale zaidi duniani. Unajuwa historia inatuambia hata watu wa Fiji wanaamini kuwa walitokea ardhi hii. Unajuwa hata watu wa pembe (yes, pembe) "Dhul Qarnein" wameacha historia yao ardhi hii.

Tuna historia kubwa ajabu lakini hatuna watafiti wa historia. Ikiwa hata historia ya miaka chini ya 100 nyuma ambayo wapo walioiishi leo hii inachakachuliwa. Tuna mengi ya kujifunza. Saa nyingine hunijia mawazo kuwa ilikuwa "too early" kutaka madaraka. Bado mawazo na fikra zetu zinaishi kwenye karne zilizopita.

Hebu niambie kweli mtu ana plan mji miaka 20 au 30 nyuma anaweka mitaa kama unayoiona buguruni na sehemu zingine za miji?

Mjerumani ka plan miji miaka 100 nyuma na aliweka barabara za kutosha (tazama Tanga). Kusoma hakujatusaidia tulichokosa ni elimu, na elimu huwa haipatikani ndani ya kuta nne za madarasa pekee. Bado sana.

you can say again girl! tukijua historia itatuongezea uzalendo!
 
Hapo dada FF kwa mara ya kwanza nimekupenda bure na umeongea point kwa mifano iliyodhahiri. Pia kuna siku za nyuma kidogo napo uliongeaga point kwenye issue ya uchaguzi mdogo wa igunga nikasema ee yupo mwanamke mwenzetu anatuwakilisha. Ila kuna sku nyingine unakuwaga mcharuko ee hadi unatisha hasa post zinazomhusu Nyerere na kidogo masuala ya udini. Tuachane na hayo ukitilia maanani wengine ni wafu inatusaidia nini sisi tuliohai zaidi tunatakiwa tuangalie nini hatima yetu ya baadae huko ahera? Turudi kwenye mada, umenikuna sn ulipozungumzia hbr ya kusubiria kiongozi atufanyie kila kitu hilo ni kosa kubwa sn nalinatucost watz. Hebu tubadilike tupige siasa kwenye jf then twende kwa vitendo kwenye jamii inayotuzunguka iwe ofisini au popote pale. Tueleze na tufanye kwa vitendo kile tunachoamini. Mi binafsi nimeanza na jamii ndogo inayonizunguka kwa kufundishana elimu ya uraia na kufanya kazi kwa bidii hakika kuna changes kubwa maana kulikuwa na migomo isiyo na tija. Nikiridhika na hii program nitaujulisha umma kwa kupitia media.
 
Back
Top Bottom