BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Hutaki atongozwe?
Heaven on earth naomba kueleweshwa vizuri hapo, kuna watu wengine wana tabia ya kutumia "I miss you" while hawajakubalika hataHapo usalama ni F....,
ofcourse kutongozwa ni kitu cha kawaida,
lakin I miss you na mengine umeshindwa kuyasema
that means alishavuka stage ya kutongozwa siku nying.....
wanasema ukiona Manyoya ...........,
unaeza malizia kimya kimya
unaakili wewe bintikutongozwa ni kawaida....
kwa nini anatunza sms?
yaani mimi nikipokea sms ya ovyo tu huwa nyingine nafuta kabla hata sijamaliza kuisoma..... yeye anazitunza ili iweje?
mimi mama....unaakili wewe binti
halloooooo members,
jamani siki moja nimeachiwa simu na mchumba wangu nikitaka kuitumia cheka vodacom aliyojiunga kumpigia ndugu yangu, baada ya kumaliza kupiga simu nikatazama meseji za mchumba (curiosity), duh kuna meseji nyingi sana za wanaume wanamtongoza wengine appointment, wengine wanamsifia, wengine missing u nk nilichoka nikagugumia life likasonga, siishi naye(note that). sasa nikasema let me try to visit her inbox siku nyingine, majanga yakawa yaleyale.....nikamuuliza anajibu tu kwamba yeye ni mwanamke so kutongozwa ni kitu cha kawaida sana.hapapana usalama wadau????
maoni yenu hapa
Hapo kwenye mabano hukutakiwa uweke curiosity bali idiotic.., inbox ya mtu inakuhusu nini???halloooooo members,
jamani siki moja nimeachiwa simu na mchumba wangu nikitaka kuitumia cheka vodacom aliyojiunga kumpigia ndugu yangu, baada ya kumaliza kupiga simu nikatazama meseji za mchumba (curiosity), duh kuna meseji nyingi sana za wanaume wanamtongoza wengine appointment, wengine wanamsifia, wengine missing u nk nilichoka nikagugumia life likasonga, siishi naye(note that). sasa nikasema let me try to visit her inbox siku nyingine, majanga yakawa yaleyale.....nikamuuliza anajibu tu kwamba yeye ni mwanamke so kutongozwa ni kitu cha kawaida sana.hapapana usalama wadau????
maoni yenu hapa
mabinti wenyewe wa fb
wakwako kwako utampata wapi.
mimi mama....
thanx
kutongozwa ni kawaida....
kwa nini anatunza sms?
yaani mimi nikipokea sms ya ovyo tu huwa nyingine nafuta kabla hata sijamaliza kuisoma..... yeye anazitunza ili iweje?
kutongozwa ni kawaida....
kwa nini anatunza sms?
yaani mimi nikipokea sms ya ovyo tu huwa nyingine nafuta kabla hata sijamaliza kuisoma..... yeye anazitunza ili iweje?
Heaven on earth naomba kueleweshwa vizuri hapo, kuna watu wengine wana tabia ya kutumia "I miss you" while hawajakubalika hata
Kwanini unasoma vitu vya watu?