assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Naomba niulize Kama katiba yetu inaruhusu.
Nimesimuliwa namna mzee wangu alivotiwa umaskini na sera iliyoletwa ya maduka ya Kijiji na matokeo ya mzee akafirisika na kufunga duka.
Wengi walinyanganywa nyumba,mashamba,shule,hospitali, taasisi za din kuvunjwa nk.
Je nikienda mahakamani kudai uhalali wa mambo hayo kisheria na kwa katiba yetu mambo yakoje?
Karibuni.
Nimesimuliwa namna mzee wangu alivotiwa umaskini na sera iliyoletwa ya maduka ya Kijiji na matokeo ya mzee akafirisika na kufunga duka.
Wengi walinyanganywa nyumba,mashamba,shule,hospitali, taasisi za din kuvunjwa nk.
Je nikienda mahakamani kudai uhalali wa mambo hayo kisheria na kwa katiba yetu mambo yakoje?
Karibuni.