Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.
Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.
Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.
Ikithibitika ni makosa ya usahihishaji kwa upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.
Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.
Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.
Ikithibitika ni makosa ya usahihishaji kwa upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.