Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,567
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya usahihishaji kwa upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
 
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule chache ninazozifahamu mimi, nimeshangazwa kukuta hakuna Div I, Div II, wala Div III , Wao ni Div IV na Zero Tuu?!.

Kwa vile sizijui shule nyingine, naomba mwana bodi yoyote, anayejua shule yoyote ya Zanzibar iliyopata Div I, Div II, au Div III anitajie kabla sijaendelea,

Kama hakuna, hii inamaana gani kuhusu akili za Wenzetu Wazanzibari?!.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar haina Div I, Div II, wala Div III, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.

check out
-fidel castro secondary school
-lumumba
-sunni madressa
-laureate international.
Kwa ujumla matokeo ni mabovu mabovu kweli. What went wrong with Zanzibar education ,that once upon a time nurtured world class scholar is anybodies guess. Yes the gentlman at helm, Shamhuna will you respond.
 
Mbona kichwa cha habari nikama umezipitia zote? Nawewe umekuwa mhandishi wa ushawishi badala ya kuto habari unauza page
.
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule chache ninazozifahamu mimi, nimeshangazwa kukuta hakuna Div I, Div II, wala Div III , Wao ni Div IV na Zero Tuu?!.

Kwa vile sizijui shule nyingine, naomba mwana bodi yoyote, anayejua shule yoyote ya Zanzibar iliyopata Div I, Div II, au Div III anitajie kabla sijaendelea,
Ile alama ya kuuliza kwenye headline, uliiona?.
P.
 
check out
-fidel castro secondary school
-lumumba
-sunni madressa
-laureate international.
Kwa ujumla matokeo ni mabovu mabovu kweli. What went wrong with Zanzibar education ,that once upon a time nurtured world class scholar is anybodies guess. Yes the gentlman at helm, Shamhuna will you respond.
Mkuu Simple Mind, asante kwa utambuzi wa shule hizi, nimezitembelea na kushuhudia hadi Div 1. Hivyo nitarekebisha headline na 1st post.
Pasco.
 
Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
Pasco,
Usipindishe hoja na kuharibu mjadala. Umeanza vema kwa kuonesha shida ya matokeo kwa shule za Zanzibar (matoke ambayo ni mabaya kwa nchi nzima), hilo liko sawa. Sasa kama Zanzibar wamefeli 'zaidi', huyu mwanamama anahusikaje na usahihishaji? Kama syllabus inayotumika Zenji na bara ni moja, kwa nini Ndalichako alaumiwe linapokuja suala la wanafunzi kufeli mitihani? Nimesoma na Wazanzibari kwa miaka mingi tu bara, tangu sekondari, wako vema sana upstairs kama walivyo wanafunzi wengine. Inawezekana kuna mazingira flani ambayo si 'wezeshi' kwa upande wa visiwani Zanzibar ambayo yanafanya performance ya wanafunzi iwe chini, lakini sio shida ya usahihishaji! Tujipe homework ya kuangalia shida ilipo kwanza, kabla ya kunyosheana vidole!
 
Mbona haujataja na zile zilizojitahdi kama hii?
S1119 ZANZIBAR
COMMERCIAL
SECONDARY
SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II =
3 DIV-III = 22 DIV-
IV = 46 FLD = 1.
Mi nadhani hata ukijarbu kupitia shule nyingi za bara utakuta matokeo mengi ni mabaya hata zaidi ya hayo. Wewe hapo ungezungumzia matokeo mabaya kwa nchi nzima, na sio kwa zanzibar pekee.
 
Kwa kweli ni swali la kujiuliza, why iwe Zanzibar ndio kuwe division zero nyingi? , na pia why iwe lindi mtwara zero nyingi? Na kwa nini iwe shule za kidini tena upande wa wa kristo ndo division 1 ziwe nyingi? Na kwa nini shule za kata ambazo wananchi wa kawaida division zero ziwe nyingi? Hapa tatizo lipo na lipo ndani cha muhimu nashauri hiyo tume inayoundwa nayo iwe tume ya ukweli isiwe tume tu ya kwenda kutekeleza matokeo haya yawe sahihi. Katika tume hii wahusishwe wazanzibar tena ikibidi wale wa chama cha upinzani chenye nguvu Cuf, Sababu sidhani kama atafumbia macho uozo, pia wawekwe wa chama tawala wale madhubuti pia nao wawe makini ili kusitokee kusingizia vya uongo, pia watoke wa taasisi za kidini pande zote wa waislam na wakristo na kwa upande wa wa islam watoke taasisi inayokubalika na waislam wengi isiwe bakwata maana haikubaliki na wa waislam wengi, pia watoke watu 2 kutoka mashirika ya haki ya binaadam na pia maprofessor kutoka chuo kikuu mi nadhan watu hawa watatoa ukweli uliomo. Na ukweli ukibainika kama kuna tatizo hawa wahusika wachukuliwe hatua kali za kisheria na si kuachishwa kazi tu bali wafungwe, waachishwe kazi na kama kuna swala la rushwa wafilisiwe mali zote walizo nazo. Ushaur huo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tatizo Pasco umemkomalia yule mama sijui una nini naye? Mara lazima ang'oke mara awajibike, kwa lipi ebu tuambie.
Mkuu Kyenju, mimi ni mhanga wa matokeo hayo, vijana wangu wawili, waliniahidi kupiga wani, lakini wote wawili wamekosa wani!.

Kwa mnaokumbuka sakata la huyu Mama la matokeo ya mwaka jana!, ili kuwakomoa wale waliomshutumu, akaamua watunge mtihani ambao "sio" na katika usahihishaji, wakakaba mpaka kona kwa kubana hadi pumzi isipite ili washutumu wake, wakomoleke!, hivyo matokeo yake ndio haya, japo "jamaa zetu" wale wamekomoleka kisawasawa, nasi wenetu wamekubwa na mkumbo wa komoa komoa hiyo hivyo kujikuta tumeathirika, ndio maana mimi naendelea kulia na huyu mama!.
NB. Sio vendata, ni lamentations tuu!.
Pasco.
 
Mkuu Kyenju, mimi ni mhanga wa matokeo hayo, vijana wangu wawili, waliniahidi kupiga wani, lakini wote wawili wamekosa wani!.

Kwa mnaokumbuka sakata la huyu Mama la matokeo ya mwaka jana!, ili kuwakomoa wale waliomshutumu, akaamua watunge mtihani ambao "sio" na katika usahihishaji, wakakaba mpaka kona kwa kubana hadi pumzi isipite ili washutumu wake, wakomoleke!, hivyo matokeo yake ndio haya, japo "jamaa zetu" wale wamekomoleka kisawasawa, nasi wenetu wamekubwa na mkumbo wa komoa komoa hiyo hivyo kujikuta tumeathirika, ndio maana mimi naendelea kulia na huyu mama!.
NB. Sio vendata, ni lamentations tuu!.
Pasco.

Kaka Pasco keep t up, we ni machambuzi na una hoja za msingi naomba tume ipitie viwes zako zitawasaidia.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli ni swali la kujiuliza, why iwe Zanzibar ndio kuwe division zero nyingi? , na pia why iwe lindi mtwara zero nyingi? Na kwa nini iwe shule za kidini tena upande wa wa kristo ndo division 1 ziwe nyingi? Na kwa nini shule za kata ambazo wananchi wa kawaida division zero ziwe nyingi? Hapa tatizo lipo na lipo ndani cha muhimu nashauri hiyo tume inayoundwa nayo iwe tume ya ukweli isiwe tume tu ya kwenda kutekeleza matokeo haya yawe sahihi. Katika tume hii wahusishwe wazanzibar tena ikibidi wale wa chama cha upinzani chenye nguvu Cuf, Sababu sidhani kama atafumbia macho uozo, pia wawekwe wa chama tawala wale madhubuti pia nao wawe makini ili kusitokee kusingizia vya uongo, pia watoke wa taasisi za kidini pande zote wa waislam na wakristo na kwa upande wa wa islam watoke taasisi inayokubalika na waislam wengi isiwe bakwata maana haikubaliki na wa waislam wengi, pia watoke watu 2 kutoka mashirika ya haki ya binaadam na pia maprofessor kutoka chuo kikuu mi nadhan watu hawa watatoa ukweli uliomo. Na ukweli ukibainika kama kuna tatizo hawa wahusika wachukuliwe hatua kali za kisheria na si kuachishwa kazi tu bali wafungwe, waachishwe kazi na kama kuna swala la rushwa wafilisiwe mali zote walizo nazo. Ushaur huo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

acha udini mkuu utaharibu thread nzuri hii.
 
Mkuu Kyenju, mimi ni mhanga wa matokeo hayo, vijana wangu wawili, waliniahidi kupiga wani, lakini wote wawili wamekosa wani!.

Kwa mnaokumbuka sakata la huyu Mama la matokeo ya mwaka jana!, ili kuwakomoa wale waliomshutumu, akaamua watunge mtihani ambao "sio" na katika usahihishaji, wakakaba mpaka kona kwa kubana hadi pumzi isipite ili washutumu wake, wakomoleke!, hivyo matokeo yake ndio haya, japo "jamaa zetu" wale wamekomoleka kisawasawa, nasi wenetu wamekubwa na mkumbo wa komoa komoa hiyo hivyo kujikuta tumeathirika, ndio maana mimi naendelea kulia na huyu mama!.
NB. Sio vendata, ni lamentations tuu!.
Pasco.

Kumbe ni Jazba ya Wanao kuchemsha. Watoto wenyewe kuta FaceBook ulitegemea wapate Div. One?.
Hivi mwanao akikuhaidi atapata wani we unaamini tu?. Wapeleke Veta acha kutafuta visingizio.
 
Back
Top Bottom