hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Nimejaribu kufatilia mafuta mengi ya kupakaa ya losheni ktk ule mchanganyiko wa mafuta huwa huwa wanaandika kwamba wanachanganya na alcohol
Na nikawaza kitu kimoja kimoja huenda kwa mtu ambaye hanywi pombe ila anapakaa mafuta yaliyo changanywa na pombe na yeye huenda akawa ni mlevi ila ulevi wake wao unakuwa upo kiwango cha chini.
Kwa sababu pombe unaweza kulewa kwa harufu je inakuwaje kwa mtu anaye pakaa kabisa.
Na nikawaza kitu kimoja kimoja huenda kwa mtu ambaye hanywi pombe ila anapakaa mafuta yaliyo changanywa na pombe na yeye huenda akawa ni mlevi ila ulevi wake wao unakuwa upo kiwango cha chini.
Kwa sababu pombe unaweza kulewa kwa harufu je inakuwaje kwa mtu anaye pakaa kabisa.