Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,611
- 3,342
Kubali kwanza kuna kipindi Dsm ilikuwa inaishia Lugalo,Ubungo,Pugu, Mbagala kizuiani,Kigamboni Ferry.....
Acha uongo wewe,,, ndo mnavyojidanganya hivyo nyie mliotoka mikoani juzi,, eti kawe mwaka 1992 kawe,Goba, unajikatia tu ovyoooo!Habari wakuu
Hapa nilikuwa naweka ligi ya mabishano, hivi inawezekana kweli watu walioingia mjini hapa 1992 mpaka leo 2021 Hana hata kiwanja cha kuzugia kweli, enzi hizo maeneo ya Tegeta, Goba, Kawe, Bunju ilikuwa mapori matupu unafika unafyeka nyasi na kujipa eneo mwenyewe.
Mbaya zaidi ulikuwa ukitaka hata kiwanja cha jero pale Ubungo unapata, Sasa mtu ananiambia kaja DSM 1992 lakini tunaganga njaa hapa, imenibidi nitafakari kidogo.
Nimesikitika sanaa.
Uzi tayari ...!
kiongozi umenikumbusha kitu ,miaka ya 92 mzee alihama toka magomeni kuja boko(mangengeni) miaka ya 99 nilikuwa nasoma sec magomeni mapima ,basi nilikuwa nachekwa sana na wanafunzi wenzangu nikiwaambia natoka bunju ,na pia enzi hizo bunju Itv haishiki (kipindi cha analojia cha antena ) basi wanahadithiana michezo ya max na zembele nahisi kwenye 2000 na kitu kama sio 2002 au 2001 basi kwavile Itv haishiki japo mnatv sana sana mlikuwa mnapata Tvz (zbc kwa sasa) basi wanakucheka wanakuona wabushi unapitwa na kila kitu ,ILA LEO BUNJU HASHIKIKI ,Miaka ya 1990's ukisema umetoka Bunju ulikuwa unachekwa na kila mtu. Ulikuwa unaitwa ni MSHAMBA wa kutupwa. Sasa unasemaje?
Ndio 🙏🏽Ogopa sana laana na mikosi.
Kuna watu wana laana za asili na kuokoka hawataki.
Ila ulinifanya nifurahi kwa takribani wiki nzima ! Kapige BIA MBILI pale CORNER BAR - SINZA na yenyewe ni yangu, sema wakati mwingine huwa nakaa kimya lakini leo imenibidi nikukaribishe
Mkuu kuna watu wamezaliwa mjini na bado hawana hata kiwanja cha kufuga kuku.Habari wakuu
Hapa nilikuwa naweka ligi ya mabishano, hivi inawezekana kweli watu walioingia mjini hapa 1992 mpaka leo 2021 Hana hata kiwanja cha kuzugia kweli, enzi hizo maeneo ya Tegeta, Goba, Kawe, Bunju ilikuwa mapori matupu unafika unafyeka nyasi na kujipa eneo mwenyewe.
Mbaya zaidi ulikuwa ukitaka hata kiwanja cha jero pale Ubungo unapata, Sasa mtu ananiambia kaja DSM 1992 lakini tunaganga njaa hapa, imenibidi nitafakari kidogo.
Nimesikitika sanaa.
Uzi tayari ...!
Watu wanazungumzia jero kama vile wanvyoweza kununulia chupa ya hill water kwa sasa. Enzi hizo watu wanatumia tsh.1-10 hivi ndio hela za kawaida. Hio 500 ulikuwa mshahara wa mtu huo!Hiyo jero ilikuwa ngumu kuipata pia na hayo mapori unayoyataja hata sasa yapo mfano Bagamoyo, Msata, Chalinze
Wanakuambia duniani wanapita sasa unawezaje kuwa na kiwanja au makazi njiani?? Hahahahaha
Sawa mkuuAisee MKUU! Kuna ofa ya BIA MBILI pale CORNER BAR, maeneo ya SINZA kwa wajanja 😂😂
Noma sana hiii aiseeInategemea mkuu,jumamosi juzi Kuna jamaa nyumba yake ilikuwa inapigwa mnada baada ya kuachana na mkewe.Ikiuzwa atagawiwa vijipesa kidogo afu awe hana nyumba Tena.Ukikutana naye baadaye hana hata kiwanja.Mambo yanabadilika kwa kasi Sana.
Interest gan Sasa, mtu mpaka Sasa amepanga, anaganga njaa Kama sisi tumeokuja 2017 mjini hapa....hata wewe uliyekuja 2017 jiulize unakwama wapi miaka miwili huna kiwanja Dar