Inawezekana toleo jipya la Apple kwenye iPhone 13 kisoko itapata wateja

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
Tarehe 14 September 2021 kampuni ya Apple imetambulisha matoleo mapya ya vifaa na toleo jipya la iphone 13 na 13 pro.

Ila nitapenda kueleza kiufupi simu za apple zilizofanya vibaya japo watu wanashindwa kuelewa.

Kampuni hii ilianza kuwa na mauzo makubwa kuanzia iphone 2g mpaka 5s. ila kuna simu moja ilitambulishwa na kuitwa 5C.hii ilipotea kabisa.

Baada ya kutoa 6 mpaka 6s na kupata mauzo makubwa hapa kati walitoa simu aina ya SE. Hii nayo ilipotea kabisa.

Baada ya kutoa 7 mpaka X na kupata mauzo makubwa hapa kati wakatoa XR.hii nayo kama ilipotea sijui kwa sababu hipi.

Hapa tunakuja kujiuliza toleo la iphone 11 bado lipo sokoni ikatambulishwa baada ya mda mfupi iphone 12 kumbuka zote zipo kwenye mauzo tena juu.

Hii iphone 13 mabadiliko yake yanaweza kupelekea ipotee na watu kutokuwa na habari nayo
 
mimi sio iship ila uchambuzi wako ni mwepesi hauko kitaalam.

apple kama zilivyo kampuni nyingine upo wakati anauza kidogo,au au anauza zaidi lakini si kupata hasara,mauzo wakati wote yanavuka marengo yao.ndio maana bado wapo wanafanya baishara,na wana mtaji mkubwa zaidi kwenye orodha ya makampuni ulimwenguni.

mpaka sasa katika matoleo yake,haijavunjwa rekodi ya mauzo ya iphone 6,lakini nado anauza.simu zote ulizozitaja hazikuwa matoleo rasmi,na si kweli kwamba zimepotea hapana.
iphone 5e iliuzwa vizuri tu,ila sio kama flagship yake iphone 5.iphone 5se iliuza vyema ila sio kama flagship ya wakati huo iphone 7.vivyo hivyo kwa xr na se2.

iphone 13 imetoka tayar,pamoja na kwamba haijabadilika sana umbo kwa 12,ila wameboresha mambo mengi tu ambayo imekuwa kelele,ikiwemo resolutn ya kioo,bettery yenye kukaa zaidi na moto nk.

kwahiyo bado itauza vizuri tu.
 
mimi sio iship ila uchambuzi wako ni mwepesi hauko kitaalam.

apple kama zilivyo kampuni nyingine upo wakati anauza kidogo,au au anauza zaidi lakini si kupata hasara,mauzo wakati wote yanavuka marengo yao.ndio maana bado wapo wanafanya baishara,na wana mtaji mkubwa zaidi kwenye orodha ya makampuni ulimwenguni.

mpaka sasa katika matoleo yake,haijavunjwa rekodi ya mauzo ya iphone 6,lakini nado anauza.simu zote ulizozitaja hazikuwa matoleo rasmi,na si kweli kwamba zimepotea hapana.
iphone 5e iliuzwa vizuri tu,ila sio kama flagship yake iphone 5.iphone 5se iliuza vyema ila sio kama flagship ya wakati huo iphone 7.vivyo hivyo kwa xr na se2.

iphone 13 imetoka tayar,pamoja na kwamba haijabadilika sana umbo kwa 12,ila wameboresha mambo mengi tu ambayo imekuwa kelele,ikiwemo resolutn ya kioo,bettery yenye kukaa zaidi na moto nk.

kwahiyo bado itauza vizuri tu.
Ila wenyewe wamesema iphone 13 imeboreshwa camera, brightness na battery tu so ni sawa na mwenye S8+ na S9
 
tarehe 14 september 2021 kampuni ya apple imetambulisha matoleo mapya ya vifaa na toleo jipya la iphone 13 na 13 pro.

ila nitapenda kueleza kiufupi simu za apple zilizofanya vibaya japo watu wanashindwa kuelewa.

kampuni hii ilianza kuwa na mauzo makubwa kuanzia iphone 2g mpaka 5s.
ila kuna simu moja ilitambulishwa na kuitwa 5C.hii ilipotea kabisa.

baada ya kutoa 6 mpaka 6s na kupata mauzo makubwa hapa kati walitoa simu aina ya SE.
hii nayo ilipotea kabisa.

baada ya kutoa 7 mpaka X na kupata mauzo makubwa hapa kati wakatoa XR.hii nayo kama ilipotea sijui kwa sababu hipi.

hapa tunakuja kujiuliza toleo la iphone 11 bado lipo sokoni ikatambulishwa baada ya mda mfupi iphone 12 kumbuka zote zipo kwenye mauzo tena juu.

hii iphone 13 mabadiliko yake yanaweza kupelekea ipotee na watu kutokuwa na habari nayo
Hii wangeiita tu iphone 12s. Hakuna kipya.
 
Mimi nimenunual iPhone 7 256GB kwa laki 3. Ni mwendo wa kusubiri tu. Mbona magari tunasubiri hadi tunanua yenye umri zaidi ya miaka 10🤣🤣

20191120_083643.jpg
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom