Inawezekana Rais hashauriki au hafikishiwi ushauri; Bombadia moja "imekufa" Mwanza, ATCL inajigamba kuleta Dreamliner

Lakini Mimi naamini kupitia hili serikali yetu itakua imejifunza na hata kupata somo maridhawa
Ndo madhara ya kuwapa dhamana wanaokuja kujifunza,sawa na nyumba yako kuchukua Fundi wa kujifunzia kupiga bati, au kinyozi.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Mkuu Bukilo!
Mimi ni mmoja wa wapinzani wa ununuzi wa ndege... unadhani sipendi tuwe na ndege zetu wenyewe?!

Hell no! Nataka sana but we've unfavorable business condition for now na kwahiyo it's irrational kufanya huge investment wakati buainess maths inaonesha wazi hilo ni tanuri lililojaa makaa ya mawe yanayotokota!!

With your "too much" limited capital una-invest pale penye promising return na sio pale ambapo hata ukifanya industry analysis unajua kabisa unless uwe very exceptional or else you're dead!

Unafanya investment pale kwenye promising return ili hatimae ufanye re-investment!!

Hii ya kwenu haina chochote zaidi ya national pride; BASI! And of course, zipo national flag carriers nyingi ambazo still zipo "in business" si kwa sababu zinatengeneza faida bali tu for national pride!!

Hata hivyo, hao wenzetu hilo shipa ni la kurithi na sio hili la kwetu la kujitandika sindano makusudi kwenye kende ili ziumuke na kuwa shipa!
Mkuu chige, Ethiopia wamenunua bombardia kumi, hizi mnazoziita pangaboi. Lakini kila siku tunawaona waethiopia wakikamatwa wakiwa wamejificha kwenye malori yanayokatiza kuelekea kusini mwa Afrika.

Ukisubiri eti uwe na uchumi ambao unakuruhusu kununua ndege, aisee itakubidi usubiri miaka mingine 100.

Warusi wanao msemo usemao...asiyekuwa tayari kuhatarisha maisha yake basi huyo asitegemee kunywa mvinyo.

Naamini wataalam wanaomshauri Bwana Mkubwa juu ya manunuzi ya ndege wanaelewa wanafanya nini. Na tusiwe wepesi kusahau kwamba ni sisi tuliokuwa tunalalamika kwanini hatuna ndege za kwetu wenyewe.

Binafsi huwa sipendi mentality ya kulalamika kila kukicha, ni dalili ya kuwa na aina fulani ya kutotaka kuumiza vichwa vyetu.
 
Utatumiaje injini ya aina moja kwa ndege zenye uwezo na matumizi tofauti? Jet injini ipi inaweza kutumika kama mbadala wa Q400 ukizingatia idadi ya abiria name uwezo wa viwanja? Ebu tujiongeze

Point ya barafu ni kua CS300 inatumika jet engine na Q400 ni engine nyingine jina kaandika turbo propeller sijui kama sijakosea jina na spelling . Pia dreamliner inatumia engine nyingine hapo ndipo penye ukakasi maana unaitaji mainjia wengi kwa maana ni engine tofauti na shirika linaanza kujifufua ni gharama sana
 
Mkuu Barafu acha uongo. Umetoka kwenye utaalamu na sasa ni mwanasiasa, kama AOG ilisababishwa na injini inayohitaji matengenezo makubwa, basi ilikuwa ni issue ya kubadili injini. Sasa kama mtaalamu was ndege, ingewachukua muda gani ATCL kupata injini na kukidhi matakwa ya kuileta Tanzania? You act like a layman kwa kusema uongo. Andishi lako lipe ukweli wa kitaaluma na kuwatendea haki professionals wenzako hasa mafundi waliofanyakazi ya kubadili hiyo injini. Sifa za mitandaoni kwa milengo ya kisiasa na profession norms kama kweli na wewe nI professional haviendani. Ungeeleza ukweli kuwa spare engine lazima itoke nje na inaprocess kubwa pamoja na maswala ya kisheria. Sio huo uongo wako eti it is because of hizi kelele za mitandaoni. Nina hakika wana JF iko siku mtakubaliana na mimi kuwa unaweza kuwandanganya baadhi ya watu kwa muda fulani lakini huwezi kuwananganya watu wote kwa muda wote. Sina ushabiki wa lumumba wala kule kwingine !

QUOTE="Vonix, post: 27038122, member: 42579"]Kwangu huyu Barafu ni kama kiungo mchezeshaji na striker pia kwenye eneo hili muhimu la Aviation industry kwa ujumla wake, mimi nitapenda kama watu watajikita kubishana kwa hoja na kuweka upenzi pembeni.[/QUOTE]
 
Lakini huyu mtu si alishasema hadharani kuwa hapangiwi na ukimuelekeza cha kufanya ndio unajisumbua kabisa?
 
Sasa mkuu mimi nisijue kuwa Dreamliner na B787-800 au 900 series ni kitu kimoja?Waliouza ni KQ
KQ bado wanayo na ndio inafanya safari za nje nimetoka Nairobi last week ilikuwepo inaelekea Paris
Sijui wewe umetoka wapi hizi habari za kwamba wameuza nimejaribu kuangalia kwenye mitandao hakuna habari kama hiyo kama unayo naomba maana hilo ni tukio kubwa lazima limeandikwa sana
 
Sasa mkuu mimi nisijue kuwa Dreamliner na B787-800 au 900 series ni kitu kimoja?Waliouza ni KQ
Hii ni Leo kwenye website yao inaonekana into a service. Hebu lete ushahidi wa kuuza kwa hiyo dreamliner ya KQ
Screenshot_2018-05-10-06-12-35.png
 
Mkuu chige, Ethiopia wamenunua bombardia kumi, hizi mnazoziita pangaboi. Lakini kila siku tunawaona waethiopia wakikamatwa wakiwa wamejificha kwenye malori yanayokatiza kuelekea kusini mwa Afrika.

Ukisubiri eti uwe na uchumi ambao unakuruhusu kununua ndege, aisee itakubidi usubiri miaka mingine 100.

Warusi wanao msemo usemao...asiyekuwa tayari kuhatarisha maisha yake basi huyo asitegemee kunywa mvinyo.

Naamini wataalam wanaomshauri Bwana Mkubwa juu ya manunuzi ya ndege wanaelewa wanafanya nini. Na tusiwe wepesi kusahau kwamba ni sisi tuliokuwa tunalalamika kwanini hatuna ndege za kwetu wenyewe.

Binafsi huwa sipendi mentality ya kulalamika kila kukicha, ni dalili ya kuwa na aina fulani ya kutotaka kuumiza vichwa vyetu.
Nisome taratibu na kwa vituo!!

Hakuna niliposema hadi tuwe na uchumi mzuri bali nimesema favorable business condition... hivi ni vitu viwili tofauti and I know you it so, don't exaggerate mambo!!

Unaweza kuwa na top economy duniani lakini unaweza usiwe na favorable condition hususani for a particular industry and the opposite is true!!

That said, mfano wako wa Ethiopia Airways vs Ethiopians ni irrelevant!

That's one but two, sie tulio na ABC ya uchumi huku tukiwa hatusukumwi na itikadi za kisiasa (though baadhi yenu watu kama cc mnatuita CHADEMA), maelezo yetu yatajikita kwa kuangalia nadharia za kiuchumi!!

Moja; Mchumi (Rational Economist) will always invest kule anakotarajia MAXIMUM return!

Lakini kwavile hii ni government investment; anaweza pia kuangalia socio-economic benefits; especially, impact ya investment husika kwenye ajira na effect yake kwenye sekta zingine za kiuchumi; especially microeconomic sector!

ONLY STUPID Economist ndie angefikia hitimisho kwamba uwekezaji kwenye ndege ndio BEST investment alternative kuliko investment nyingine yoyote ile ambayo ingeweza kufanywa na serikali na kutoa sifa nilizoeleza hapo juu!

Hata kama unafanya uchambuzi/uchanganuzi wa investment tofauti tofauti in favor of the government; uwekezaji kwenye ndege usingeweza kuwapo hata kwenye top 5 best investment alternatives!

Katika mazingira kama hsyo, na kwa kuzingatia limited resources, kwa rational decision makers KATU investment kama hiyo haiwezi kuwa top priority!!

Tena top priority unayoweza kui-finance with cash...

SIAMINI kwamba eti kuna wataalam walimshauri vizuri katika hili! I believe kilichom-influence JPM ndo hicho ulichosema "zamani ni sisi wenyewe ndio tulikuwa tunalalamika kwanini tusiwe na ndege zetu wenyewe!"

UPO SAHIHI! Leo hii tunaopinga kununua ndege, miongoni mwetu ndio hao hao tulikuwa tunalalamika kutokuwa na ndege zetu wenyewe!

Unfortunately, mimi sio mmoja wao! Nilipinga wakati wa JK na ninapinga sasa!!

Kilichom-influence JPM ni soka la kucheza na mashabiki uwanjani!

CONCLUSION: Ndege, HAPANA lakini SGR... Yes though sina uhakika kama route iliyopewa kipaumbele ndio route bora kuliko zote kiuchumi!
 
Swala la fleet commonality in kama hulijui..
Kimsingi Atcl itakuwa na ndege kutoka kampuni mbili tu. Bombardier na Boeing..elewa Dream liner ni Boeing 787..na Cs300 pamoja na Q400 hizi ni bombardier.Moja ni short range kwa ajili ya soko la east Africa..nyingine ni medium range kwa ajili ya middle east and Asia..
Umeielewa hoja yangu??hoja haipo kwenye kuharibika....Ipo kwenye "Fleet Commnality".
Hayo mengine unajipa pressure tu
 
Mkuu Barafu ni muongo kubuhu na siyo mtaalamu wa aviation ila anacheza na akili za watu wasio na ujuzi kabisa na aviation. Mwanzo nilifikiri kuwa ni mtu wa kada ya chini ya aviation kama technician lakini nina wasiwasi na hilo kwa sasa. Conclusion zake zinapotosha sana. Ni mpenzi tu wa aviation na huenda na kuunga habari kutoka mitandaoni kisha anapost. Nimekuwa nikibishana nae kwa nia njema ili kuleta majumuisho yenye maana jamvini lakini nimegundua kuwa nafanya kazi ya kumfundisha ABC za aviation nakuonekana kama nimeegemea upande fulani kisiasa. Anapotosha na hata kukatisha tamaa wataalamu wetu ambao hawako katika milengo ya kisiasa bali kutimiza wajibu wao wa kazi. Ataendelea kudanganya kwa wachache ambao wanamuhitaji kwa ajenda zao lakini akiaibisha taaluma. Ni mwongo!

Hii ni Leo kwenye website yao inaonekana into a service. Hebu lete ushahidi wa kuuza kwa hiyo dreamliner ya KQ
View attachment 771949
 
Kwanza kuna sehemu unapotosha Ndege za ATC zinatoka mashirika mawili tu lakini kwa ujanja wa kupotosha umwtaja aina ya Ndege kuwaaminisha watu ni makampuni matatu tofauti. CS300 na Q400 ni Ndege za shirika moja bombardier, kwa hiyo sisi tuna Ndege kutoka mashirika mawili tu bombardier na Boeing.
Kwa IATA umesema kweli ATC lazima walifanyie kazi tatizo lao walipe hilo deni wasijidanganye kuwa watafanya biashara kivyaovyao
Hivi umemsona vizuri au umeamua tu kubisha?!

Alichosema ni ndege "Makabila" 3 tofauti kwa maana kwamba; ingawaje CS300 na Q400 ni ndege za "kabila" moja, lakini mashine zake tofauti... moja ni turboprop engine na nyingine na jet engine!

Kwenye hiyo engines portfolio; ongeza na Dreamliner!

Na concern yake ya kwanza ilikuwa ni uhaba wa mafundi wazalendo!

So, kama unataka kupinga; pinga suala la CS300 & Q400 kuwa na engines tofauti na utuambie engines zao ni zipi hasa!

Aidha, pinga suala la uhaba wa mafundi na tuambie kwamba tuna mafundi walio vizuri kwa mashine za aina zote!

Kinyume na hayo; basi upo hapa kupinga tu ili mradi umepinga tena probably ukipinga mambo usiyo na utaalamu nayo!
 
Hivi umemsona vizuri au umeamua tu kubisha?!

Alichosema ni ndege "Makabila" 3 tofauti kwa maana kwamba; ingawaje CS300 na Q400 ni ndege za "kabila" moja, lakini mashine zake tofauti... moja ni turboprop engine na nyingine na jet engine!

Kwenye hiyo engines portfolio; ongeza na Dreamliner!

Na concern yake ya kwanza ilikuwa ni uhaba wa mafundi wazalendo!

So, kama unataka kupinga; pinga suala la CS300 & Q400 kuwa na engines tofauti na utuambie engines zao ni zipi hasa!

Aidha, pinga suala la uhaba wa mafundi na tuambie kwamba tuna mafundi walio vizuri kwa mashine za aina zote!

Kinyume na hayo; basi upo hapa kupinga tu ili mradi umepinga tena probably ukipinga mambo usiyo na utaalamu nayo!
kwa hiyo kwa sababu hatuna mafundi wazalendo basi tusiwekeze kwenye ndege, dah watz hizi akili za namna hii tunatoa wapi?
Ndege duniani zipo za jamii mbili jet engine na hizo panga boi, hao Ethiopia wana bombardier panga boi, Airbus na boeing, kwa hiyo wana ndege jamii tatu kama sisi sasa huo mfano wake ulikuwa na maana gani? kwanza ni mfano aliopotosha na bado akaendelea kutudanganya KQ wameuza dreamliner wakati inaendelea kufanyakazi.
kama umeamua kuwa zwazwa sio wote tutakubali lazima tufuatilie kama yanayosemwa ni kweli
 
Mkuu mleta mada mafanikio HUWA HAYAJI KIRAHISI RAHISI kama sisi tunavyotaka...

Siku zote up and down zipo tu ILA SIKU MOJA TUTAFIKA na mkubali mkatae MAGUFULI kwenye hili la NDEGE Kafanya maajabu mno NA ANASTAHILI KUPONGEZWA sema ndio hivyo tena WATU WANACHUKI TU mpaka kufikia kutoona mazuri.

Mlio wengi humu JF kuharibika kwa INJINI ya hiyo ndege(KAMA NI KWELI IMEHARIBIKA) NI FURAHA KWENU...maana mpo kusubiri kuona mabaya tu(Na inawezekana mnakesha mkiomba kabsa) ili mpate pakusemea LAKINI MAZURI hamuyaoni kabsa
Tatizo si mafanikio kuja kwa kuchelewa au haraka......
Tatizo si kufurahia au kuhuzunika kwa ndege kuharibia....

TATIZO NI KWA NINI HAWASEMI? KWA NINI INAKUWA SIRI KUBWA?

Hawakusema kudaia kisa kuvunjwa mkataba wa ujenzi wa barabara.......
Hawakuisema kukamatwa kwa bombadia kisa hukumu baada y akuvunja mkataba kimakosa........
Hawakusema nyingine ilikuwa ishirikiliwe Marekani kisa baada ya kushikiliwa ya kwanza hakuna aliyehangaika na kulipa....
Hawakusema kwamba baada ya ile ndege ya pili nayo kuwa hatarini kukamatwa, BASI WAMELIPA MAMILIONI .....

KILA KITU HAWASEMI, NA BAHATI MBAYA HAWAKAI KIMYA TU, BALI WANAANZAGA NA KUKANA.....

Halafu wanafuata VITISHO KWA MTOA TAARIFA.....

Mwisho wanalipa mihela yote lakini hawasemi kwamba wamelipa... ILA WANAWAITA WATU KUPIGIA PICHA KWENYE BOMBADIA..!!!

WANAWAITA WATOA TAARIFA SI WAZALENDA....!!!!!
 
Tatizo si mafanikio kuja kwa kuchelewa au haraka......
Tatizo si kufurahia au kuhuzunika kwa ndege kuharibia....

TATIZO NI KWA NINI HAWASEMI? KWA NINI INAKUWA SIRI KUBWA?

Hawakusema kudaia kisa kuvunjwa mkataba wa ujenzi wa barabara.......
Hawakuisema kukamatwa kwa bombadia kisa hukumu baada y akuvunja mkataba kimakosa........
Hawakusema nyingine ilikuwa ishirikiliwe Marekani kisa baada ya kushikiliwa ya kwanza hakuna aliyehangaika na kulipa....
Hawakusema kwamba baada ya ile ndege ya pili nayo kuwa hatarini kukamatwa, BASI WAMELIPA MAMILIONI .....

KILA KITU HAWASEMI, NA BAHATI MBAYA HAWAKAI KIMYA TU, BALI WANAANZAGA NA KUKANA.....

Halafu wanafuata VITISHO KWA MTOA TAARIFA.....

Mwisho wanalipa mihela yote lakini hawasemi kwamba wamelipa... ILA WANAWAITA WATU KUPIGIA PICHA KWENYE BOMBADIA..!!!

WANAWAITA WATOA TAARIFA SI WAZALENDA....!!!!!
kama serikali inadaiwa lazima walipe na kama wamelipa ni vizuri tuendelee na maisha mengine au watu walitaka ndege zisije kabisa kwa sababu ya deni?
 
kama serikali inadaiwa lazima walipe na kama wamelipa ni vizuri tuendelee na maisha mengine au watu walitaka ndege zisije kabisa kwa sababu ya deni?
Hujajibu kilichoulizwa... SIAJASEMA WASILIPE...

WHY USILI, WHY WAANZE NA KUKANA, WHY KU-DEAL NA WATOA TAARIFA? Jibu hayo maswali...ACHA MBWEMBWE
 
Hujajibu kilichoulizwa... SIAJASEMA WASILIPE...

WHY USILI, WHY WAANZE NA KUKANA, WHY KU-DEAL NA WATOA TAARIFA? Jibu hayo maswali...ACHA MBWEMBWE
kwani madeni yote serikali inayolipa huwa wanakwambia? nenda hazina au BOT watakwambia lakini ukikaa huku mtaani unabishana huwezi kupata hizo information
 
Back
Top Bottom