Inawezekana Polepole alikuwa sahihi kuwa "Serikali ni mwanasesere"

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,894
Kuna kauli moja alitoa pole pole kuhusu kuwa na parallel state, yaani nchi kuendeshwa na kikundi flani kimejificha nyuma huku serikali tunayoiona kubali kama pambo au MWANASESERE, hii inaweza kuwa kweli kwa upande mmoja kutokana na mifano hii.

1. Kesi ya Mbowe inaonekana kuna nguvu zaidi unasababisha kesi ya Mbowe kuonekana kuwa ngumu, kwani tunavojua utu na msimamo wa Kiongozi wetu ni against na Mambo yanayofanyika katika kesi hiyo. Hivyo parallel state is behind this.

2. Kutokana na hotuba tunazozisikia za kiongozi wetu, nyingi hazitoi majibu hapo kwa papo kama ilivyokuwa wakati wa viongozi wa zamani, kauli nyingi sasa zimekuwa tunachukua, tutaangalia, tutafanyia kazi. Hii inamaana kuna maamuzi zaidi yanaenda kufanyika, yaani mpaka ipelekwe parallel state wakaamue.

3. Waziri Makamba kutamka wazi wazi kuwa wakati ananitafuta MD wa TANESCO ilimuwiwa vigumu na alitumia nguvu nyingi. Sasa ina maana utaratibu wa vetting na wa kiserikali wa kawaida ulikiukwa Sasa waziri ameenda mtaani kuchagua Kiongozi na anapeleka jina kwa raisi, hii Ina maana ni nguvu nje ya mifumo iliyopo.

Kwahiyo pole pole alikuwa anajua anachokiongea, na hata ukinzani anaoupata ni kwasababu tu kaongea ukweli
 
CHADEMA miaka hii ya mama mtanyooka, jiandaeni kwa mvua za mwenyekiti, uzushi hautamuokoa mwenyekiti.
 
Nyerere alishatabiri kuwa upinzani wa kweli utatoka CCM, kinachoendelea sasa hivi ni CCM vs CCM. Upinzani zima kimya.
 
1. Kesi ya Mbowe inaonekana kuna nguvu zaidi unasababisha kesi ya Mbowe kuonekana kuwa ngumu, kwani tunavojua utu na msimamo wa Kiongozi wetu ni against na Mambo yanayofanyika katika kesi ya Mbowe.
Mleta mada umeandika ujinga mtupu na mifano iliyokufa. Hivi katika maisha yako haujawahi kuona au hata kusikia mapadri, masheikh, wachungaji nk wamehukumiwa kwa makosa mbali mbali kama vile wizi, ulawiti nk?

Je kabla ya hukumu hizo viongozi hao walikuwa wanaonekana ni watu wa aina gani kwa waumini wao? Ukweli ni kwamba moyo wa mtu ni sawa na msitu ambapo hauwezi kukiona kilichopo ndani yake.

Kuna watu mchana ni sheikh, padri, mchungaji nk, lkn usiku ni mchawi, mwizi, mlevi mzinzi tena pengine wa wake za watu nk. Kuna mtu mchana mbele ya macho ya watu ni mwema zaidi ya wema wenyewe, lkn usiku nyuma ya macho ya watu ni jambazi katili mtoa roho za watu na mbakaji hatari sana. Kwahiyo katika maisha usikimbilie kuusemea moyo wa mwenzako maana hauwezi jua kilichomo ndani yake.

Wewe jisemee mwenyew maana ndio unafaham siri uliyonayo rohoni. Pia katika maisha usikimbilie kumuamini mtu mungine zaidi ya 1) Mungu wako, 2) wazazi wako, 3) na ww mwenyewe.

Kukimbilia kuwaamini watu kwa muonekano wao au tabia zao basi kuna siku utakuja kutapeliwa au kuumizwa na mtu ambae haukuwahi hata kumfikiria kuwa angekufanyia hivyo.

Hii ishatokea kwa wengi na ndomaana kuna misemo ya "kikulacho ki nguoni mwako" na mungine mingi ya aina hiyo.
 
Kuna kauli moja alitoa pole pole kuhusu kuwa na parallel state, yaani nchi kuendeshwa na kikundi flani kimejificha nyuma huku serikali tunayoiona kubali kama pambo au MWANASESERE, hii inaweza kuwa kweli kwa upande mmoja kutokana na mifano hii.

1. Kesi ya Mbowe inaonekana kuna nguvu zaidi unasababisha kesi ya Mbowe kuonekana kuwa ngumu, kwani tunavojua utu na msimamo wa Kiongozi wetu ni against na Mambo yanayofanyika katika kesi hiyo. Hivyo parallel state is behind this.

2. Kutokana na hotuba tunazozisikia za kiongozi wetu, nyingi hazitoi majibu hapo kwa papo kama ilivyokuwa wakati wa viongozi wa zamani, kauli nyingi sasa zimekuwa tunachukua, tutaangalia, tutafanyia kazi. Hii inamaana kuna maamuzi zaidi yanaenda kufanyika, yaani mpaka ipelekwe parallel state wakaamue.

3. Waziri Makamba kutamka wazi wazi kuwa wakati ananitafuta MD wa TANESCO ilimuwiwa vigumu na alitumia nguvu nyingi. Sasa ina maana utaratibu wa vetting na wa kiserikali wa kawaida ulikiukwa Sasa waziri ameenda mtaani kuchagua Kiongozi na anapeleka jina kwa raisi, hii Ina maana ni nguvu nje ya mifumo iliyopo.

Kwahiyo pole pole alikuwa anajua anachokiongea, na hata ukinzani anaoupata ni kwasababu tu kaongea ukweli

sawa kabisa
 
Mleta mada umeandika ujinga mtupu na mifano iliyokufa. Hivi katika maisha yako haujawahi kuona au hata kusikia mapadri, masheikh, wachungaji nk wamehukumiwa kwa makosa mbali mbali kama vile wizi, ulawiti nk?

Je kabla ya hukumu hizo viongozi hao walikuwa wanaonekana ni watu wa aina gani kwa waumini wao? Ukweli ni kwamba moyo wa mtu ni sawa na msitu ambapo hauwezi kukiona kilichopo ndani yake.

Kuna watu mchana ni sheikh, padri, mchungaji nk, lkn usiku ni mchawi, mwizi, mlevi mzinzi tena pengine wa wake za watu nk. Kuna mtu mchana mbele ya macho ya watu ni mwema zaidi ya wema wenyewe, lkn usiku nyuma ya macho ya watu ni jambazi katili mtoa roho za watu na mbakaji hatari sana. Kwahiyo katika maisha usikimbilie kuusemea moyo wa mwenzako maana hauwezi jua kilichomo ndani yake.

Wewe jisemee mwenyew maana ndio unafaham siri uliyonayo rohoni. Pia katika maisha usikimbilie kumuamini mtu mungine zaidi ya 1) Mungu wako, 2) wazazi wako, 3) na ww mwenyewe.

Kukimbilia kuwaamini watu kwa muonekano wao au tabia zao basi kuna siku utakuja kutapeliwa au kuumizwa na mtu ambae haukuwahi hata kumfikiria kuwa angekufanyia hivyo.

Hii ishatokea kwa wengi na ndomaana kuna misemo ya "kikulacho ki nguoni mwako" na mungine mingi ya aina hiyo.
utopolo
 
Back
Top Bottom