Ni kumuingiza Mbunge wa Nzega, HUSSEIN BASHE. Katika Sakata lililoibuliwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla la uooraji ardhi Plot 4091 Njiro Arusha. Mahusiano ya Bashe na Kigwangalla yanamhusu nini? Anataka Bashe afanye nini kwenye Tuhuma dhidi ya baba yake? Anataka Waziri Kigwangalla achukulieje kauli hiyo? Au sisi tujue kuwa Baba yake hakupora ardhi yeru na badala yake ni visasi? Na kama Alioora ardhi, mahusiano kati ya Kigwangalla na Rafiki wa Familia ya Lowassa ndiyo kiwe kichaka cha kujificha?
Hakuna asiyejua ukaribu uliokuwepo na pengine ambao bado upo kati ya Hussein Bashe na Lowassa kama siyo familia nzima ya Lowassa.
Kumtaja Bashe, Utetezi wote wa Fredrick kuhusu tuhuma za Baba yake kupora ardhi ya Wananchi unakosa nguvu kabisaa.
kama ni mwanzo wake kumridhi baba yake kwenye medani za kisiasa, tayari ameanza na kosa kubwa la kiufundi.
Kwenye audio hii, Kigwangalla ametaja Mawaziri Wakuu wawili wastaafu, hajamtaja Lowassa. Tunao mawaziri wakuu wastaafu akina Sinde Waryoba, Cleopa Msuya, Mizengo Minda, Salim Mohamed Salim, Frefrick Sumaye. Kwanini familia ya Lowassa ndiyo idhani inalengwa yenyewe?
Fred Lowassa: Waziri Kigwangalla amekurupuka, Mzee Lowassa anamiliki ardhi kihalali
Hakuna asiyejua ukaribu uliokuwepo na pengine ambao bado upo kati ya Hussein Bashe na Lowassa kama siyo familia nzima ya Lowassa.
Kumtaja Bashe, Utetezi wote wa Fredrick kuhusu tuhuma za Baba yake kupora ardhi ya Wananchi unakosa nguvu kabisaa.
kama ni mwanzo wake kumridhi baba yake kwenye medani za kisiasa, tayari ameanza na kosa kubwa la kiufundi.
Kwenye audio hii, Kigwangalla ametaja Mawaziri Wakuu wawili wastaafu, hajamtaja Lowassa. Tunao mawaziri wakuu wastaafu akina Sinde Waryoba, Cleopa Msuya, Mizengo Minda, Salim Mohamed Salim, Frefrick Sumaye. Kwanini familia ya Lowassa ndiyo idhani inalengwa yenyewe?
Fred Lowassa: Waziri Kigwangalla amekurupuka, Mzee Lowassa anamiliki ardhi kihalali