Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
Cjaelewa mkuu unamanisha kila k2 ni feki kwa hyo watu wanaosemekana wana HIV ni uongo ama?na kama ni uongo je? wana ugonjwa gani
 
Wadau,

Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV!

Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu amuokoe huyu ndugu! Lakini kati ya wachangiaji waliosimama kidedea kuchangia thread hii, mchangiaji mmoja nimemnukuu akisema, "hukujua kuwa kupata UKIMWI ni kazi ngumu sana.."

Na kwa bahati mbaya alipoombwa kutoa elimu na uzoefu wake na baadhi ya wadau, hakuonekana tena! Usemi huu umeibua tafakari na tafakuri nyingi katika halmashauri yangu ya kichwa, nikirejea na siku za mgongoni nikiwa darasani mwalimu pia aliwahi kusema maneno sawia na ya mchangiaji wa leo na toka ya hapo, swali hili limetoka katika tawala za kichwa changu kwamba, "Je, inawezekana mtu akalala (siyo kulala huku kwa kawaida, tafsida imezingatiwa) na mtu mwenye UKIMWI tena bila condom na asipate UKIMWI?".

Nisaidieni wadau.

Nawasilisha.

======
Mleta uzi bila shaka sasa hivi unatumia pills.
 
Huu Uzi umenifungua macho aisee nilikua nawazaga bila kupata majibu yani kila siku umeze mavidonge mengi sasa sijui ni vingapi humeza kwa siku bila kuwa na effects kubwa mwilini. Mara mastory mtaani wengi wanaotumia hizo dawa hufa ghafla zikiwakataa ila nimepata jibu tosha aisee.
Kweli aisee kwa mwaka mtu anakula vidonge 365.baada ya miaka minne lazima apate madhara
 
Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na kunirudisha nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa kutafuniwa watakuwa wamepata mkombozi.
Deception umenifungua kitu,na mimi ntaendelea kufuatilia zaidi,shukran
 
jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara kwa mara tulipoachana alikuwa anaenda kupima peke yake analeta majibu . negative cha ajabu mwez huu wameenda kupima na mmewe mtarajiwa kajikuta ni positve mme wake negative na bado hawajasex aliponiambia nilistuka nikambana akasema mara ya 'm wisho kusex amesex na mimi / mwaka ja na October ilibid nikapime haraka mda huo nikakutwa negative nikamletea vipimo vyang NIMESHINDWA NIMSAIDIAJE ila mchumba wake anaimani nae sana wadau nipen hatua za kumsaidia inauma sana
Oi mwisho wake imekuaje? Ni miaka miwili sasa
 
Deception

I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga pengine tuna laana,lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena mzima na afya yake zaid ya miaka 15 sasa,naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya unayoyasema maana huwaga hawachukui hata miaka mitano wakishajijua.
Mmmmh!!! Hatari
 
IMG_9285.JPG
IMG_9286.JPG

Some evidence
 
Back
Top Bottom