Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Your case is very very interesting..jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara kwa mara tulipoachana alikuwa anaenda kupima peke yake analeta majibu . negative cha ajabu mwez huu wameenda kupima na mmewe mtarajiwa kajikuta ni positve mme wake negative na bado hawajasex aliponiambia nilistuka nikambana akasema mara ya 'm wisho kusex amesex na mimi / mwaka ja na October ilibid nikapime haraka mda huo nikakutwa negative nikamletea vipimo vyang NIMESHINDWA NIMSAIDIAJE ila mchumba wake anaimani nae sana wadau nipen hatua za kumsaidia inauma sana
I wait for it to be continued