Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa akipima mara kwa mara yuko vizuri.

Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana haamini. Alikuwa ni mmoja wa waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.
 
Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya kugegedua, unaweza ukasalimika.

Nzowa,
Umenifanya nikimbilie maliwato haraka kujicheki. Hivi uume mdogo ukoje na uume mkubwa mpaka unasababisha michubuko ukoje?
Back to the point.

Si kila kumlala mwanamke mwenye ukimwi kunaleta maambukizi hayo. Ninawajua watu flani sasa ni marehem, waliacha wake zao na hakuna hata mmoja mwenye hiyo kitu. Hapo nasema kwa ukakamavu kabisa. Cha kushangaza mmoja alizaa na mama kati ya hao vitoto vimekwisha tangulia lakini hawaa wawili ni wazima.

Haya; Si kila mwanamke atalala na mwenye ukimwi aupate pia. Mbona hawa wamama hawana? Ukimwi ni adhabu flani hivi. Siye tunapiga kavu kavu nyingi tu bado hata dalili hakuna. Huna haja ya kilainishi, mwandae vizuri, usilogwe ukaenda nje ya mipaka yaani kinyume na maumbile. Huko hata umwandaeje, hakuna kilainishi chochote kule ila tangi bovu tu kule.

Mkitaka sikieni hamtaki endeleeni hata ukivaa kondom 2, ni bure. Miye ka ni mipira hiyo sivai naacha naenda kulala
 
Mtoa mada una dhamira nzuri lakini unaongea kwa lugha ya picha sana. Jaribu kudadavua kwa undani zaidi.
 
Style hiyo aliitumia Zuma, raisi wa Afrika ya kusini.

Ndio maana nikasema jambo hili ni pana sana na nina mambo mengi sana kuelezea watu. Ukweli ni kwamba, Zuma ni muongo kupindukia,aliongea hivyo ili kurudisha imani ya watu ambayo imeshapotea kuhusiana na ugonjwa huu.

Thabo Mbeki alishawafunua wananchi wake kuhusu ukweli wa ugonjwa huu kwamba ni feki na aliwaambia kwamba yeye haamini kama unasababishwa na HIV na akawapa sababu,hivyo watu wengi walimuelewa na takwimu za matumizi ya ARVs zilishuka sana na watu wa SA hadi leo hawaogopi kabisa ukimwi kwa kuwa wameshaelimika na wanajua kwamba ni feki, bado sisi vichwa ngumu kuelewa. Na hii ndio sababuiliyomfanya Thabo Mbeki apigwe chini kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi na kumweka Zuma ili arudishe hali nzuri ya soko la ARVs.

Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa akipima mara kwa mara yuko vizuri. Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana haamini. Alikuwa ni mmoja wa waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.

Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho. Hakuna chanjo ya ukimwi. Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.

By nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs, kumbe ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.

Na kama mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama ameonekana ana HIV,kwa kuwa nilishasema mwanzo kwamba HIV hana madhara na zaidi ya hapo vipimo hivi ni feki na nitaeleza kwa nini ni feki baadaye.

Dah! Kwanini unasema HIV/AIDS ni feki na vipimo vyake kwanini viwe feki pia?

HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana sasa,mara watu hukwambia "ni vigumu sana kupata HIV kwa kufanya ngono",ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya ngono.

Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier,huu ni uongo pia,kila mtu hawezi kudhurika na HIV,hata wewe pia. Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/Ukimwi upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.

Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria,TB au Typhoid.Walikataa kutuia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki,haonekani.

Na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia hajawahi kumwona,sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi?Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi?

Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee,kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi(kumbuka bado kwamba HIV hasababishi ukimwi).

Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB,hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo.Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.

Nzowa,
Umenifanya nikimbilie maliwato haraka kujicheki. Hivi uume mdogo ukoje na uume mkubwa mpaka unasababisha michubuko ukoje?
Back to the point.
Si kila kumlala mwanamke mwenye ukimwi kunaleta maambukizi hayo. Ninawajua watu flani sasa ni marehem, waliacha wake zao na hakuna hata mmoja mwenye hiyo kitu. Hapo nasema kwa ukakamavu kabisa. Cha kushangaza mmoja alizaa na mama kati ya hao vitoto vimekwisha tangulia lakini hawaa wawili ni wazima.
Haya; Si kila mwanamke atalala na mwenye ukimwi aupate pia. Mbona hawa wamama hawana? Ukimwi ni adhabu flani hivi. Siye tunapiga kavu kavu nyingi tu bado hata dalili hakuna. Huna haja ya kilainishi, mwandae vizuri, usilogwe ukaenda nje ya mipaka yaani kinyume na maumbile. Huko hata umwandaeje, hakuna kilainishi chochote kule ila tangi bovu tu kule.
Mkitaka sikieni hamtaki endeleeni hata ukivaa kondom 2, ni bure. Miye ka ni mipira hiyo sivai naacha naenda kulala

Mkuu mangatara,maneno yako yanaendelea kuthibitisha mkanganyiko nilioueleza hapo juu.Imebaki imani tu kwenye ugonjwa huu kama zilivyo imani nyingine,lakini uhalisia haupo hapo.Tatizo hapa linakuja kwa sababu maneno haya kwamba ukimwi ni hatari yamerudiwa mara nyingi sana kwenye vichwa vya watu na hatimaye yakageuka kuwa imani ambayo imechanganyika na woga.Na hili ndio lengo lao,yaani uogope.

Lakini hamna sayansi hapa kwenye ugonjwa huu.Sayansi ya kweli inapingana na kila nyanja ya ugonjwa huu feki.Hakuna kirusi kilichotengenezwa maabara hapa, hizi ni propaganda ili kukuaminisha kwamba kweli kirusi kinachosababisha ukimwi kipo wakati ukweli ni kwamba hakipo.

Maneno haya sikusema mimi,bali nimejifunza kutoka kwa madaktari wazoefu duniani wenye akili zao timamu na wengine wana nobel prizes kwa kugundua vitu mbalimbali na wamefanya tafiti za kutosha kuhusu jambo hili,hivyo jambo hili si la kubeza,ni ukweli mtupu,lakini kitu kipya kinapoingia kwenye bongo za watu huwa ni vigumu sana kupokewa na ubongo.

Mimi mwenyewe nimefanya tafiti zangu binafsi kuthibitisha wanachosema madaktari hawa na nimegundua kwamba wanachosema ni kweli kwa 100%.Nina evidence za respects zote.Thabo Mbeki sio chizi,ana akili zake timamu alipopinga suala hili,hivi watu hawastuki bado?Museveni naye analijua hili,yaani raia wengi wa nchi za Afrika wamefanywa kama ng'ombe na viongozi wao.

Ni viongozi werevu na wenye huruma tu na wananchi wao ndio wamethubutu kusema ukweli huu,na hao pia wamewekewa vikwazo kwa kugusa maslahi ya watu wakubwa.Hebu tuamke ndugu zangu.Kama huelewi au huamini ninachosema basi fanya tafiti mwenyewe na nina uhakika utarudi tena hapa kuni PM.

Na ndio maana kapeni nyingi za mambo haya ziko Afrika zaidi kwa kuwa ndiko kuna soko kubwa na wateja wake hawana akili za kuhoji,wanajikusanyia tu mapato.Inatia huruma na hasira sana.HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.

Kwa kuanzia fuatilieni link hapo chini mumsikilize Dr(sasa hivi ni Prof) Peter Duesberg;Huyu mzee hakuna wa kumfananisha naye kwenye field hii ya virusi duniani,na amepata hasara kubwa sana baada ya kusema maneno haya kwenye public. Alishindwa kuvumilia kuona watu wanakufa bila hatia.
 
Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni HIV+ halafu anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya kawaida, ambayo kuna elasticity inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4 kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye colostrum ya mama aliye+.

Ati mtoto yule, asiupate. Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu. Hatutatumia mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala hatuta kufa kamwe.

Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu kihalali na ukimwi hautanipata.
 
Hakika unaweza kwenda peku na usiupate ili mradi usiwe na manjonjo mengi kitandani na kikubwa ni kumwandaa tu
 
Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni HIV+ halafu anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya kawaida, ambayo kuna elasticity inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4 kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye colostrum ya mama aliye+.
Ati mtoto yule, asiupate. Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu. Hatutatumia mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala hatuta kufa kamwe.
Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu kihalali na ukimwi hautanipata.

Hakuna kitu inaitwa AIDS, it's hoax. pharmaceutical companies strategies to make money.. Especially in Africa.
 
Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni HIV+ halafu anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya kawaida, ambayo kuna elasticity inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4 kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye colostrum ya mama aliye+.
Ati mtoto yule, asiupate.
Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu. Hatutatumia mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala hatuta kufa kamwe.
Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu kihalali na ukimwi hautanipata.

Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.

Nshatembea sana na totoz but mpaka leo am so good, nothing like mdudu, but also nakula sana mitishamba,, niko na almost 15 years sijala hata panadol.

Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko huru.

Hakika unaweza kwenda peku na usiupate ili mradi usiwe na manjonjo mengi kitandani na kikubwa ni kumwandaa tu

Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama mavado wanaweza kukusaidia pia. Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.

Na ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU. Ukijua mtego huu basi utakuwa umejikomboa na janga hili.

Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu wanajitokeza sana kupima VVU, hawaogopi kupima na kuchukua majibu, hii ndio sababu kubwa na hamna sababu nyingine, lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema, labda watu kutoka njombe waje kuthibitisha wenyewe hapa.
 
Siko hapa kuwafundisha watu kutokutumia kondom lakini nasema, muda umepita wa kujitumbukiza kwenye mtego ka huu. Siku ukilogwa ukajikuta umetumbukiza tu bila mpira tayari ndo siku mawazo yako yatakuua.

Thru experience;
Mi ni msajili wa ndoa. Sheria inaamuru kuwa tusiwafungie ndoa ambao hawana vyeti vya kupima HIV tena mara 3 yaani kipindi kisichopungua miezi 6.
Kwa kusimamia sheria hii, nikaamuru vijana waende kupima.

Bahati mbaya sana, kijana yule me akaonekana analo. Wakaondoka na kusema ati miye ndo nilienda kufitini aandikiwe kuwa + ili asifungiwe ndoa. OK, wakaamua wenyewe kwenda hospitali nyingine tena mji mwingine mbali nisipo wala julikana. Kupima, kijana akaonekana +. Kelele na chuki zikazidi kwani niliwaamuru walete majibu ya barua yangu nilio wapa ya kwenda kupima.

Wakazidi kunipakazia kuwa nina mpango wa kum do yule binti. Sawa, wakaenda mbali mbali zaidi, wakapima, jamaa akaambiwa analo. Duh! Binti akafunguka akili, akasema kiongozi hajawahi kusikia kuwa tunakuja huku, hivyo sababu yako kuwa ananitamani haina mashiko. Akauvunja uchumba. Jamaa kwa hasira akaenda akamtwaa binti ambaye amekaa sana bila kuolewa, akamua waoane bila kufunga ndoa.

Mambo yakawa mazuri, binti ameshazaa watoto 4 wala hakuna aliye dhurika. Je ni vipimo vilikuwa vibovu au ni mimi nilikuwa nawafuatilia kuwa haribia maisha yao?? Nasema, unavyo amini ndivyo utakuwa. Ukiamini umeukwaa itakuwa hivyo. Tujifunze kuamini Positively kuwa "Sina ukimwi" itakuwa hivyo
 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

Je Kunamadhara Gan Yatokanayo Na Kunyonyana Ndimi?
 
Je Kunamadhara Gan Yatokanayo Na Kunyonyana Ndimi?

Unaweza kupata magonjwa ya kuambukizwa/infectious diseases kama vile TB nk.Lakini sahau kuhusu HIV/AIDS kwa sababu hauambukizwi na AIDS haisababishwi na HIV.Soma kwa makini ulicho quote utaelewa.
 
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.
 
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.

Nakuunga mkono kwa asilimia mia moja mkuu hilo lipo kabisa.
 
Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.

ey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!

* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja na ugonjwa huo

* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!??? wangapi ambao hawajaanza hata kutumia hizo dawa na tiari wanaugua ukimwi, haya tuseme vipimo ni fake hawana huo ukimwi then ni ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo ugonjwa...


ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom