Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Manii hazina VVU ndio maana utaona mama ana HIV baba hana na wanasex bila condom ili wapate mtoto na baba hapati HIV kinachotakiwa ni kujua siku ya hatari kwa mwanamke na maandalizi yawe ya kutosha

HIV ni retrovirus. Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli. HIV is a political and commercial/ business name, watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo. Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV. Najua hili ni jambo geni kwa wengi ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni. HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki. Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
 
Well said... ulifuatilia ile documentary ya yule daktari aliyabatiza hii kitu...

Ndio mkuu, yaani sikubakisha kitu, documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.

Hakuna documentary nilibakisha. Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.

Nikaja kuhitimisha kwamba, sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa, kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikilia biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.

Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4. Na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia HIV).
 
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya...

Anzisha thread kila mtu aione na kuchangia chochote with references bro
 
Ndiyo inawezekana kulala na mwenye VVU na usivipate. Ni vizuri ufahamu kwamba kwa kila tendo la ndoa linalofanywa, hatari ya kuambukizwa UKIMWI ipo kwa asilimia 2 tu. Hivyo uwezekano wa kuambukizwa ukimwi si asilimia 100, kiasi cha mtu kudhani kwamba akigusa tu, basi amepata.

Lakini kwa mwanaume aliyetahiri asilimia hiyo mbili inapungua tena kwa asilimia 60. Piga hesabu ya asilimia zinazobaki baada ya kutoa asilimia 60 za asilimia 2. Hivyo kwa aliyetahiri, anaweza kuwa kwenye hatari ya maambukizo kwa asilimia labda 0.8. Kwa kusema hivi simaanishi kwamba sasa mjiachie tu na kwenda peku.
 
Ndiyo inawezekana kulala na mwenye VVU na usivipate. Ni vizuri ufahamu kwamba kwa kila tendo la ndoa linalofanywa, hatari ya kuambukizwa UKIMWI ipo kwa asilimia 2 tu. Hivyo uwezekano wa kuambukizwa ukimwi si asilimia 100, kiasi cha mtu kudhani kwamba akigusa tu, basi amepata. Lakini kwa mwanaume aliyetahiri asilimia hiyo mbili inapungua tena kwa asilimia 60. Piga hesabu ya asilimia zinazobaki baada ya kutoa asilimia 60 za asilimia 2. Hivyo kwa aliyetahiri, anaweza kuwa kwenye hatari ya maambukizo kwa asilimia labda 0.8. Kwa kusema hivi simaanishi kwamba sasa mjiachie tu na kwenda peku.

1.Ukimwi hauambukizwi.

2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono.

3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari, mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.

Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu, kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo, ukweli utabaki palepale.

Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.

Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza. Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo, kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.
 
Anzisha thread kila mtu aione na kuchangia chochote with references bro

Possibly kuna kitu kizuri ulitaka kuelezea lakini umeshindwa namna ya ku-present...:rolleyes:

mdau kuna kitu kina kosekana flani ivi apa dah mmmmh narudia kusoma mara mbili mbili lakin daah mmmh tuelimishe vizur bna tuku elewe.?

Wakuu, mada hii ni pana mno, kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.

Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu, hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza, utake usitake, hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo, hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.

Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo, hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli. Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
 
Back
Top Bottom