DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
..taratiibu ukweli utafahamika!kwamba routine haikufuatwa ipasavyo,kwa uzembe tu!au kwa hujuma?
..hii itafanya taratibu zote za kuhudumia wagonjwa,hasa huduma wanazotoa ma-nurse kuwa reviewed!na hapa tuombee zitakosolewa na kusahihishwa!
..ilikuwa inangojwa ajali ili MOI irekebishwe!sasa ndio hiyoooo!
..hii itafanya taratibu zote za kuhudumia wagonjwa,hasa huduma wanazotoa ma-nurse kuwa reviewed!na hapa tuombee zitakosolewa na kusahihishwa!
..ilikuwa inangojwa ajali ili MOI irekebishwe!sasa ndio hiyoooo!