Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
Hata kama haya makosa yanatokea kwa wenzetu atleast people are held responsible na hatua zinazotakiwa zinachukuliwa. Hawa wa huku kwetu wataunda tume and nothing will happen wataendelea kutesa watu tu. kumchukulia mtu hatua baada ya kufanya makosa makubwa kama haya kunawafanya hata wengine wawe makini zaidi kwa sababu wanajua wakikosea na tena kama ni uzembe adhabu ipo, lakini wengi wao wanajua hamna adhabu yeyote ile inayotolewa kwa hiyo they dont even make an effort kupunguza uzembe.
I think hawa wandugu wajaribu kutafuta legal advice na hawa wazembe wachuliwe hatua kali sana
I think hawa wandugu wajaribu kutafuta legal advice na hawa wazembe wachuliwe hatua kali sana