Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Hii plan failure ya jiwes and company, badala ya kuuwa umasikini eti yuko bize kuuwa upinzani.CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu
Sent using Jamii Forums mobile app