fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Me sina comment ila tulishawaonya wasitumie jina letu unakumbuka!!!!?
Nilionaga BBC
Me sina comment ila tulishawaonya wasitumie jina letu unakumbuka!!!!?
we jamaa wee saa 10:10pm unasema pamekucha tena ndio umeshituka pamekucha!!!Mmmh kumekucha tena?
Me sina comment ila tulishawaonya wasitumie jina letu unakumbuka!!!!?
Nilionaga BBC
na US imesema itakata mawasiliano ya kiuchumi na nchi zote zinazojihusisha kibiashara na korea kaskazini
Yaani tunaunga mkono nchi ya korea kaskazini inayotaka kuangamiza dunia,hasa marekani?
Mbona Sera ya mambo ya nje iko hovyo hovyo tu
Kumuunga mkono kiduku ni ujinga mkubwa
Always mabepari kulindana siku zote na kuangalia maslahi Yao kuna msemo unatumiwa na wazungu unaosema "Don't fight with a big Fish" ukiwa na maana ya kuwa alipokugusa mkulu n pabaya Sana siku zote ukila na kipofu usimshike mkono haimaanish napinga Jitihada za Mkulu kupambana na uhujum uchumi nop ila hatua anazotumia kuwatreat wawekezaji na wafanya biashara km maadui.Kwa sbbu ukiangalia serikal ilokuwa madarakan mda wote n hyohyo yake na wala si nyingine so Solution iliyokuwa ikitakiwa n pamoja naWazungu bhana...
Kuwakataza madini tu ndo wanaanza kutusakama hivyo?
Kama DAB alivyowachokonoa tu wauza unga wakafukua na makaburi yanayomuhusu toka nainteen kweusiWazungu bhana...
Kuwakataza madini tu ndo wanaanza kutusakama hivyo?
yaani hiyo ishu ya TZ NA NKwe jamaa wee saa 10:10pm unasema pamekucha tena ndio umeshituka pamekucha!!!
Mkuu sio kwamba tumeaminishwa tu vipi kama kiduku yuko poa kuliko western power inapokuja kwa maslahi yetuYaani tunaunga mkono nchi ya korea kaskazini inayotaka kuangamiza dunia,hasa marekani?
Mbona Sera ya mambo ya nje iko hovyo hovyo tu
Kumuunga mkono kiduku ni ujinga mkubwa
Dhubutu!! Unajichagulia vikwazo...kwani vinatoka kwako? Lazima wakupe vikwazo vitakavyokubana pua wanakuachia kiupenyo kidogo ili usife.Wasituwekee vikwazo vya kiuchumi tu.
jaribu kukumbuka tu ndugu yangu!!Tuliwaonya?!!, sikumbuki..
Sasa ndugu North Korea inaitisha vipi Tanzania au Nchi za Kiafrika. North Korea katengeneza kombora linalofika America siyo Africa unaogopa kitu gani. Wewe ndo inabidi huwe Shule ujuwi UN nani mwenye sauti. Nakupa homework katafute vikwazo alivyokutana navyo CHINA wakati anataka kuwa mwanachama wa kudumu wa UN, je hivyo vikwazo vilitoka kwenye nchi gani?....Kwa hii comment you must be a school boy!! Hivi unaelewa nini maana ya kuwa member wa UN na international treaties?
Sent using Jamii Forums mobile app
we mlevi siku hizi umekua adimu..sioni machicha yako humu,au ndio nati za ngosha?!Naunga mkono ushirikiano na North Korea wazungu wasituchagulie rafiki wala adui.