Inawezekana Kuwa Rais bora bila kuponda watangulizi wako!

Adolf Mark

Member
Nov 4, 2011
50
26
Niseme wazi kuwa sifurahishwi na tabia ya baadhi ya viongozi wapya kuwaponda watangulizi wako, siamini kama unaweza kuwa kiongozi bora bila kuponda watangulizi wako, fanya utendaji wako bila kupondaponda wenzako, kuna tuliofurahishwa na uongozi wa huyo mstaafu, tuna imani amefanya makubwa ya kupigiwa mfano.
 
Niseme wazi kuwa sifurahishwi na tabia ya baadhi ya viongozi wapya kuwaponda watangulizi wako, siamini kama unaweza kuwa kiongozi bora bila kuponda watangulizi wako, fanya utendaji wako bila kupondaponda wenzako, kuna tuliofurahishwa na uongozi wa huyo mstaafu, tuna imani amefanya makubwa ya kupigiwa mfano.

Per diem zimeanza kuwatesa hadi mnamkumbuka JK mlizoea ngoja tukose wote na bado tu mtaendelea kulalamika na kuumia. Nchi siyo yenu pekee yenu bali ni yetu sote
 
Per diem zimeanza kuwatesa hadi mnamkumbuka JK mlizoea ngoja tukose wote na bado tu mtaendelea kulalamika na kuumia. Nchi siyo yenu pekee yenu bali ni yetu sote

Aisee umesema kweli yaani kuna watumishi wenzetu nchi hii hii na serikali hii mbaya zaidi uwezo wao wa kazi na elimu zao ni mashaka matupu lakini wanavyokula good life utafikiri ni experts kutoka nje ya tz!!
 
Niseme wazi kuwa sifurahishwi na tabia ya baadhi ya viongozi wapya kuwaponda watangulizi wako, siamini kama unaweza kuwa kiongozi bora bila kuponda watangulizi wako, fanya utendaji wako bila kupondaponda wenzako, kuna tuliofurahishwa na uongozi wa huyo mstaafu, tuna imani amefanya makubwa ya kupigiwa mfano.
Kama unamaanisha safari za nje hujamuelewa Dr Magufuli. Safari za rais JK zilikuwa muhimu sana. Matunda yake ndiyo tunayaona sasa. Ndiyo maana hata ktk gharama hakuna budget ya ikulu iliyotajwa.
 
Kama unamaanisha safari za nje hujamuelewa Dr Magufuli. Safari za rais JK zilikuwa muhimu sana. Matunda yake ndiyo tunayaona sasa. Ndiyo maana hata ktk gharama hakuna budget ya ikulu iliyotajwa.
Hahahahaha unatetea ujing@ pole! Ngoja muisomee # tu
 
Hakuna mwingine wa kulisemea hili la safari zisizo na tija zaidi ya Dr: Magufuri wakati mkuu wa kaya wa awamu iliyopita ndiye aliyekuwa kinara wa safari!
 
Hajamtaja kiongozi kiongozi yeyote, ila yametajwa matumizi tu, nakumbuka Mwl JK Nyerere ndiye aliyewahi kumtaja wazi wazi mzee Mwinyi na PM wake Malecela
 
Pole sana,huyo ndio kinara wa ccm na Tz kwa sasa it is too late,mwache atumbue majipu
 
Rais John Magufuli amekataa ile kasumba ya kumung'unyamung'unya maneno na kuukimbia ukweli.Amekataa unafiki.Na huo ndio uongozi.
 
Mnyukano umeanza ndani kwa ndani. Masolex anatumbua majipu harufu ya usaha na damu tumeshainusa tayari. Akiendelea hivi mkwere atakuwa anazomewa barabarani. JPM aka Mr.misifa.
HAPA MAIGIZO TU.
 
safi aisee sisi tulikua tunakunywa safari lager wakawa wanatucheka wao wakinywa whindok na heinken bear sasa jamaa kabana safari tuna kunywa wote safari lager kweli heshima itarudi mtaani hongera makofuli kwa kurudisha heshima
 
Tulipokuwa tunasema Jk anaongoza vibaya, mashabiki wake mlikuwa mlituponda sana humu ndani. Sasa jana Dr.John Pombe Magufuli kapasua jipu hadharani, mmeanza ooohhh aaaahhh ooohh.

Rais Dr.John Pombe Magufuli ameagiza HAPA NI KAZI TU
 
Huwezi kuwa kiongozi bora kwa kuponda watangulizi wako bali kutekeleza ahadi zako, ona mpaka sasa wiki ya tatu hata mashine za muhimbili bado hazijatengemaa, tabia ya kuponda inakunyima fursa muhimu ya kujikosoa wewe mwenyewe, unapoteza mwelekea kwa kuona madhaifu ya wenzako badala ya kusonga mbele kutekeleza mipango yako!
 
Huwezi kuwa kiongozi bora kwa kuponda watangulizi wako bali kutekeleza ahadi zako, ona mpaka sasa wiki ya tatu hata mashine za muhimbili bado hazijatengemaa, tabia ya kuponda inakunyima fursa muhimu ya kujikosoa wewe mwenyewe, unapoteza mwelekea kwa kuona madhaifu ya wenzako badala ya kusonga mbele kutekeleza mipango yako!

Mbona mapovu yanakutoka bila sababu....ni nini tatizo ?????
 
Back
Top Bottom