BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,360
- 4,149
Do you think kibongo bongo unaweza ukawa Tsh Billionaire bila,
-Kucheza na wanasiasa
-Kuhonga kushinda tenders
-Kusaka Free Grants
-Kuwa mwizi
Namaanisha, unafungua kampuni, unaingia sokoni, una customer service nzuri, wateja wanaelewa huduma na ukaweza kuweka Tsh 1B+ mfukoni?
-Kucheza na wanasiasa
-Kuhonga kushinda tenders
-Kusaka Free Grants
-Kuwa mwizi
Namaanisha, unafungua kampuni, unaingia sokoni, una customer service nzuri, wateja wanaelewa huduma na ukaweza kuweka Tsh 1B+ mfukoni?