Inawezekana kuscan pencil drawing kwenye Epson printer au photocopy machine

Superpower

JF-Expert Member
Oct 11, 2018
826
912
Habari ya jioni ndugu zanguni nilikua naomba kuuliza picha ya kuscani inakuaje pindi pale unapochora kwa pencil na kuuscani katika Epson printer au photocopy machine.

Kwa maana nilijaribu kuscan picha flani hivi niliyokuwa nimeichora kwenye hp 3510 Deskjet matokeo hayakua mazuri kabisa lakini kwa peni mambo yalikua sawa Sasa jamani naomba mwenye uelewa naomba anifahamishe.
 
Habari ya jioni ndugu zanguni nilikua naomba kuuliza picha ya kuscani inakuaje pindi pale unapochora kwa pencil na kuuscani katika Epson printer au photocopy machine.

Kwa maana nilijaribu kuscan picha flani hivi niliyokuwa nimeichora kwenye hp 3510 Deskjet matokeo hayakua mazuri kabisa lakini kwa peni mambo yalikua sawa Sasa jamani naomba mwenye uelewa naomba anifahamishe.

Mbona sioni kama huwa zina changamoto. Hata Ramani iliyochorwa kwa pencil inafaa kuscan. Labda kama scanner uliyotumia ina uwezo mdogo wa kuchukua picha. Jaribu scanner za Epson na uscan katika mode ya photo hutojutia.
 
Scanner, Copy Machine , Printer ni Different technologies ingawa vinaingiliana na kuna all in one..., copy za kisasa zote ni kwamba inascan kwanza image alafu inaifanyia duplicate...

Scanner inatumia laser ambayo inasoma kilichopo na kuchukua hio image..., black ni rahisi kuwa scanned (penseli sio rahisi sana kuonekana na hio scanner wakati ukitumia wino mwekundu ndio balaa)

Hivyo basi for best results tumia black pen, worse results pen nyekundu.., all in all it depends na ubora wa scanner....

HOW SCANNERS WORK
Scanners operate by shining light at the object or document being digitized and directing the reflected light (usually through a series of mirrors and lenses) onto a photosensitive element. In most scanners, the sensing medium is an electronic, light-sensing integrated circuit known as a charged coupled device (CCD).
 
Mbona sioni kama huwa zina changamoto. Hata Ramani iliyochorwa kwa pencil inafaa kuscan. Labda kama scanner uliyotumia ina uwezo mdogo wa kuchukua picha. Jaribu scanner za Epson na uscan katika mode ya photo hutojutia.
shukurani sana na je kwa fine art Napo itakuwa njema
 
Scanner, Copy Machine , Printer ni Different technologies ingawa vinaingiliana na kuna all in one..., copy za kisasa zote ni kwamba inascan kwanza image alafu inaifanyia duplicate...

Scanner inatumia laser ambayo inasoma kilichopo na kuchukua hio image..., black ni rahisi kuwa scanned (penseli sio rahisi sana kuonekana na hio scanner wakati ukitumia wino mwekundu ndio balaa)

Hivyo basi for best results tumia black pen, worse results pen nyekundu.., all in all it depends na ubora wa scanner....

HOW SCANNERS WORK
Scanners operate by shining light at the object or document being digitized and directing the reflected light (usually through a series of mirrors and lenses) onto a photosensitive element. In most scanners, the sensing medium is an electronic, light-sensing integrated circuit known as a charged coupled device (CCD).
shukurani ko hitimisho ni kwamba lazima pen.
 
shukurani ko hitimisho ni kwamba lazima pen.
Hapana kama scanner ni nzuri hata penseli au penseli iliyokoza bold ; ila kwa uhakika hata kama scanner ni chafu au sio powerful tumia peni / rangi nyeusi
 
shukurani ko hitimisho ni kwamba lazima pen.
Hapana Sio laziam pen
pencil inafanya tena inatoka vizuri tu
Ukichange setting za DPI nk katika SCANNER setting
Google DPI meaning utaelewa zaidi
Ningekuelewesha kiswahili ila kigumu mno
 
Scanner ni camera, hivyo ubora wa scanner na scanner unatifautiana.
 
Back
Top Bottom