Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Kwa wale wageni wa JF, hizo nyotanyota mwandishi atakuwa aliandika neno vi.la.za, kwa njia ya kawaida. Hilo neno ni tusi kubwa sana humu. Limeshapigwa "ban" sijui kwa muda gani? Hivyo ukitaka neno ki.la.za liosomeke /lionekane andika kama nilivyoandika.WACHUMI JIBUNI mnawachia ****** wajibu utumbo.