Inawezekana kuna mtu anamchagulia Rais Samia watendaji wa Serikali

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Kwa mtindo wa uteuzi wa watendaji wa serikali inaonekana Samia kuna watu wanamchagulia nani awe pale na nani asiwe pale.

Inachoknekana Samia hana utashi wake wa uchaguzi nani awe mtendaji flani wa taasisi fulani, wanamchagulia.

Ni jambo la kusikitisha kwamba Rais Samia chaguzi zake zote ni wale watu waliokua kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, yaani karibu wote waliokua kwenye utawala wa Kikwete Samia amewarudisha kwenye nafasi za utendaji Serikalini.

Rais Samia anaamini ili utawala wake uende anavyotaka basi ni kua na timu ya Kikwete.

Nashindwa kuelewa ina maana watu 60m Samia amekosa kabisa watu wapya yeye ni kurudisha watu wale wale wa miaka ile Serikalini.

Watu wanaposema kuna mtu mwingine anaeongoza hili taifa kwa nyuma sasa naanza kuwaelewa.

Angalia kwa mfano aliowarudisha, Alianza na Mafuru akampa ukamishna wa madeni ya nje kisha unaibu katibu mkuu, hiyo nafasi ya kamishna wa Madeni kampa R. Bade aliekua mkuu wa TRA enzi za Kikwete.

Kwa watu 60M hakuna mtu mwingine mwenye akili zaidi ya kina Bade, Mchechu, Mafuru na wengine?

 
Yeye Katibu Mkuu Kiongozi Katanga alipatikanaje!! kama una kumbukumbu nzuri Rais katika speech yake baada ya kumuapisha alisema alikuwa hamfahamu sasa mpaka hapo hatushituki tu kuwa hii nchi inaongozwa na Ntu wa dili nje ya Ikulu?
 
Ni sawa tu na mimi ambaye sijaapa au kiapo changu kimeisha muda(expired oath of office) halafu naendelea kuongoza na kuwa na amri ya madaraka au madaraka ya amri.

Hivi watu wakubwa wanashindwa nini kupeana connection mashirika makubwa ya nje na kwenye coorporate World hadi kuja kupeana ukamishina wa idara ndani ya wizara?

Kweli watanzania wote tunafanana.
 
Rais ni Taasisi
Huko ni kudunisha madaraka ya Rais. Rais ni mtu. Unadhani kwanini haitwi Taasisi ya Rais? Sema Rais ana wasaidizi, sio mtuambie Rais ni taasisi wakati ni uongo.

Rais wa Tanzania hathibitiki na hivyo haina hadhi ya kuwa taasisi. Rais wa Tanzania ni mtu na huamua uelekeo wa nchi kwa utashi wake na wala sio kwa taasisi zilizoko chini yake.

Tumeshuhudia hayo mara kibao.

Ndio maana Nyerere aliitwa haambiliki, JPM wakamuita Jiwe, Kikwete wakamuita Vasco Da Gama.

Hata kwa macho ya kawaida unaona kabisa kinachofanywa na marais wetu sio maamuzi ya kitaasisi. Mara nyingi ni maamuzi ya mtu binafsi.

Siku anamuapisha CDF na CoS, Samia alisema serikalini kila mtu anaingia na lake, ila jeshini unaendeleza pale alipoishia mwenzio.
 
Huko ni kudunisha madaraka ya Rais. Rais ni mtu. Unadhani kwanini haitwi Taasisi ya Rais? Sema Rais ana wasaidizi, sio mtuambie Rais ni taasisi wakati ni uongo.
Rais wa Tanzania hathibitiki na hivyo haina hadhi ya kuwa taasisi. Rais wa Tanzania ni mtu na huamua uelekeo wa nchi kwa utashi wake na wala sio kwa taasisi zilizoko chini yake.
Tumeshuhudia hayo mara kibao.
Ndio maana Nyerere aliitwa haambiliki, JPM wakamuita Jiwe, Kikwete wakamuita Vasco Da Gama.
Hata kwa macho ya kawaida unaona kabisa kinachofanywa na marais wetu sio maamuzi ya kitaasisi. Mara nyingi ni maamuzi ya mtu binafsi.
Siku anamuapisha CDF na CoS, Samia alisema serikalini kila mtu anaingia na lake, ila jeshini unaendeleza pale alipoishia mwenzio.
Kwa mfano Bade alikuwa CG wa TRA wakati Mwigullu Nchemba akiwa NW.wa fedha

Sasa kuna ubaya Mwigullu kumkaribisha Bade wizarani?
 
Kwa mtindo wa uteuzi wa watendaji wa serikali inaonekana Samia kuna watu wanamchagulia nani awe pale na nani asiwe pale.

Inachoknekana Samia hana utashi wake wa uchaguzi nani awe mtendaji flani wa taasisi fulani, wanamchagulia.

Ni jambo la kusikitisha kwamba Rais Samia chaguzi zake zote ni wale watu waliokua kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, yaani karibu wote waliokua kwenye utawala wa Kikwete Samia amewarudisha kwenye nafasi za utendaji Serikalini.

Rais Samia anaamini ili utawala wake uende anavyotaka basi ni kua na timu ya Kikwete.

Nashindwa kuelewa ina maana watu 60m Samia amekosa kabisa watu wapya yeye ni kurudisha watu wale wale wa miaka ile Serikalini.

Watu wanaposema kuna mtu mwingine anaeongoza hili taifa kwa nyuma sasa naanza kuwaelewa.

Angalia kwa mfano aliowarudisha, Alianza na Mafuru akampa ukamishna wa madeni ya nje kisha unaibu katibu mkuu, hiyo nafasi ya kamishna wa Madeni kampa R. Bade aliekua mkuu wa TRA enzi za Kikwete.

Kwa watu 60M hakuna mtu mwingine mwenye akili zaidi ya kina Bade, Mchechu, Mafuru na wengine?


Mtu akishatolewa kwenye uongozi wa taasisi na kiongozi mmoja hapaswi kurudishwa tena kwenye uongozi hata kana ni taasisi tofauti na kiongozi mwingine. Kuna watanzania wengi tu wana uwezo mkubwa wanaweza teuliwa hao kuziba hizo nafasi. Hakuna mru muhimu ndiyo maana watu wote wanakufa. Katika biblia Pilato aliandika anuani juu ya msalaba wa Yesu kuwa," mfalme wa wayahudi" baadae wayahudi wakamfuata kuwa,abadilushe na kuandika huyu alisema mimi ndiye mfalme wa wayahudi. Pilato aliwajibu kuwa kiluchoandikwa kimeqndikwa, hivyo hakubadilisha.
Mtu akitumbuliwa hata kama kaonewa hapaswi kurudushwa kwa sababu uongozi sio haki yake ya kuzaliwa, pili Serikalini wanejaa maprincipal officers kibao ambao kama utaratibu wa uteuzi ungekuwa unafuatwa hao ndio wangekuwa wanajaza mapengo ya nafasi mbalimbali za uteuzi.
 
SAMIA ALIGOMBEA URAIS? SI NYINYI NA KIMBELEMBELE CHENU MARA MUMPE UGOMBEA MWENZA MARA PAA KAWA RAIS KAMA ZARI VILE.

SUBIRI AWANYOOSHE!
Yaani huyu mama yupo yupo tu hata hajielewi! Huyu Bade ashakula sana nchi hii! Ina maana hakuna vijana wengine wenye maCPA huko mtaani wanahangaika na mtu mchafu kiasi hiki?
 
Kwa mtindo wa uteuzi wa watendaji wa serikali inaonekana Samia kuna watu wanamchagulia nani awe pale na nani asiwe pale.

Inachoknekana Samia hana utashi wake wa uchaguzi nani awe mtendaji flani wa taasisi fulani, wanamchagulia.

Ni jambo la kusikitisha kwamba Rais Samia chaguzi zake zote ni wale watu waliokua kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, yaani karibu wote waliokua kwenye utawala wa Kikwete Samia amewarudisha kwenye nafasi za utendaji Serikalini.

Rais Samia anaamini ili utawala wake uende anavyotaka basi ni kua na timu ya Kikwete.

Nashindwa kuelewa ina maana watu 60m Samia amekosa kabisa watu wapya yeye ni kurudisha watu wale wale wa miaka ile Serikalini.

Watu wanaposema kuna mtu mwingine anaeongoza hili taifa kwa nyuma sasa naanza kuwaelewa.

Angalia kwa mfano aliowarudisha, Alianza na Mafuru akampa ukamishna wa madeni ya nje kisha unaibu katibu mkuu, hiyo nafasi ya kamishna wa Madeni kampa R. Bade aliekua mkuu wa TRA enzi za Kikwete.

Kwa watu 60M hakuna mtu mwingine mwenye akili zaidi ya kina Bade, Mchechu, Mafuru na wengine?

Ina maana unaposema 60m, ulitaka hata kitoto kilichozaliwa january mwaka jana kapewe uongozi!!!!? Au kwa takwimu zako ulimaanisha nini?
 
Kwa mtindo wa uteuzi wa watendaji wa serikali inaonekana Samia kuna watu wanamchagulia nani awe pale na nani asiwe pale.

Inachoknekana Samia hana utashi wake wa uchaguzi nani awe mtendaji flani wa taasisi fulani, wanamchagulia.

Ni jambo la kusikitisha kwamba Rais Samia chaguzi zake zote ni wale watu waliokua kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, yaani karibu wote waliokua kwenye utawala wa Kikwete Samia amewarudisha kwenye nafasi za utendaji Serikalini.

Rais Samia anaamini ili utawala wake uende anavyotaka basi ni kua na timu ya Kikwete.

Nashindwa kuelewa ina maana watu 60m Samia amekosa kabisa watu wapya yeye ni kurudisha watu wale wale wa miaka ile Serikalini.

Watu wanaposema kuna mtu mwingine anaeongoza hili taifa kwa nyuma sasa naanza kuwaelewa.

Angalia kwa mfano aliowarudisha, Alianza na Mafuru akampa ukamishna wa madeni ya nje kisha unaibu katibu mkuu, hiyo nafasi ya kamishna wa Madeni kampa R. Bade aliekua mkuu wa TRA enzi za Kikwete.

Kwa watu 60M hakuna mtu mwingine mwenye akili zaidi ya kina Bade, Mchechu, Mafuru na wengine?


Li mama lenu linapangiwa viongozi na Kwete!!
 
Kwa mtindo wa uteuzi wa watendaji wa serikali inaonekana Samia kuna watu wanamchagulia nani awe pale na nani asiwe pale.

Inachoknekana Samia hana utashi wake wa uchaguzi nani awe mtendaji flani wa taasisi fulani, wanamchagulia.

Ni jambo la kusikitisha kwamba Rais Samia chaguzi zake zote ni wale watu waliokua kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, yaani karibu wote waliokua kwenye utawala wa Kikwete Samia amewarudisha kwenye nafasi za utendaji Serikalini.

Rais Samia anaamini ili utawala wake uende anavyotaka basi ni kua na timu ya Kikwete.

Nashindwa kuelewa ina maana watu 60m Samia amekosa kabisa watu wapya yeye ni kurudisha watu wale wale wa miaka ile Serikalini.

Watu wanaposema kuna mtu mwingine anaeongoza hili taifa kwa nyuma sasa naanza kuwaelewa.

Angalia kwa mfano aliowarudisha, Alianza na Mafuru akampa ukamishna wa madeni ya nje kisha unaibu katibu mkuu, hiyo nafasi ya kamishna wa Madeni kampa R. Bade aliekua mkuu wa TRA enzi za Kikwete.

Kwa watu 60M hakuna mtu mwingine mwenye akili zaidi ya kina Bade, Mchechu, Mafuru na wengine?


Kwani mme wake kwa sasa ni nani?
 
Back
Top Bottom