Inawezekana kumpenda mwanaume asiye na hela?

Kwa Africa ni adimu sana na ni sawa kutafuta tako la jongoo.In short jamii yoyote yenye sifa ya njaa mara nyingi utu huwa hamna.Atakupenda kweli ila baada ya muda watamshauri utumbo then atakubalikia in long run.
AFRIKA MWANAMKE KUMPENDA MWANAUME HATA KAMA HANA HELA MARA NYINGI HUYO MWANAMKE ATAKUWA SIO MZURI(SURA KAMA GENERATOR AU UKOKO WA MAKANDE)
Mkuu nimerudia kusoma hii comment yako sasa hivi ni mara ya kumi najikuta nacheka sana. Nilikuwa na ki stress lakini naona kime dissappear
 
Mimi ninadhani mapenzi na mali havihusiani japo sasa itategemea umekuzwaje au kuaminishwaje.Hivyo utamaduni ni kiungo muhimu hapa.

Hapa kwetu Afrika, au tuseme mahali mfumo dume unatawala, mwanamke haonekani ni mwenye hisia. Wao huchukuliwa kama kiburudisho na hivyo inapokuja suala la mapenzi wao ni kazi yao ni kumridhisha kidume na kisha kupata ujira, iwe in kind ama cash.

Hali hii imesababisha mara nyingi kutokuwa na mapenzi ya dhati.Kwakuwa tunaamini mwanamke ni kiburudisho, basi mwanamke akikuvulia chupi tu basi ujue utalipa iwe pesa ama kumfanyia hisani yoyote ile.Kwahiyo, kwa waafrika wengi, mwenye mali ama uwezo fulani anaweza kugonga jiji zima.Kwa kifupi jamii zetu huhusisha mali na mapenzi.

Athari za kitu hiki ni kulazimisha wadada kuolewa ama kuhusiana na wasiyewapenda.Ndo utasikia malalamiko oooh, mume wangu hanikojozi.Kumbe mwenyewe wakati anagongwa hana raha, ana mengi kichwani.Si ajabu na mali zote akaishia kugongwa na mhuni fulani tu.

Baadi ya wazungu (yani si wazungu wote)wameliona hili, wao linapokuja suala la mapenzi, haijalishi amempata mtu wa hadhi gani.Kwanza mdada anaweza kudhamini gemu.Bongo wanawake wengi hufikiria kuolewa au kuhusiana na mtu mambo safi, kuwa na mahusiano na mlinzi wa ghala la korosho kwao ni kama laana.Watalazimisha mwanaume hata asiyempenda mradi akafaidi maisha kumbe bado anaweza kuumia kisaikolojia.
One of the best comment dropped since the start of this brillliant thread.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom