Lee kim honj
Member
- Jul 21, 2021
- 15
- 31
Bati za kawaida 100 haifiki million mbili
Acha kupotosha bhana au gaj 32 labda ila 30 andaa 2.5
Bati za kawaida 100 haifiki million mbili
Kuna bati za rejareja mmoja inauzwa elfu kumi na nane tembea madukani uoneAcha kupotosha bhana au gaj 32 labda ila 30 andaa 2.5
Kutegemeama na eneo ulipo. Unaona hii Iko uwanda tambarare so msingi wake sio gharama kubwa. Kuhusu Boma ni sawa na hizo bati Gauge 30. So kama unataka kujenga kama hii jipange kwa 16M makadirio.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Million kumi na Sita si kuhamia kabisaKutegemeama na eneo ulipo. Unaona hii Iko uwanda tambarare so msingi wake sio gharama kubwa. Kuhusu Boma ni sawa na hizo bati Gauge 30. So kama unataka kujenga kama hii jipange kwa 16M makadirio.
Watu wanakatisha tamaaBongo humu mtandaoni huwa mnaongepeana Sana kuna sehemu nilimpa Ramani mtu akaniambia hiyo nyumba mpaka iishe andaa milioni 30 nikaona huyu ananizingua nimekuja kujenga nyumba hiyo hata 12 milioni haijaisha mfano hapo KWA nyumba kama hiyo ni tofali 2000 na hayo ni makadilio ya juu Sana ila mtu anashindwa hata kujiongeza wewe hapo andaa milioni 10 inaisha hiyo
bro watu wanakupa uzoefu wao hlf wewe unasema unakatishwa tamaaa, haiko ivo mkuu inabidi usome michango yote ya wadau hlf wewe mwnyw ndo utachuja nini cha kufanya...kwa mfano hiyo pesa kwa huku zenji utaishia kuwa na boma tu, tn inawezekana lisifike kwenye linta pesa ishakata.Watu wanakatisha tamaa
Huku Bara ni tofautibro watu wanakupa uzoefu wao hlf wewe unasema unakatishwa tamaaa, haiko ivo mkuu inabidi usome michango yote ya wadau hlf wewe mwnyw ndo utachuja nini cha kufanya...kwa mfano hiyo pesa kwa huku zenji utaishia kuwa na boma tu, tn inawezekana lisifike kwenye linta pesa ishakata.
Nimependa hapo kwenye kazi ampe saidia fundiNiamini mimi hauwezi kufanya hivyo vyote labda ujenge chini ya viwango...Milango uweke ya "Seplas" ,msingi usifunge mkanda,bati upige za MPESEMPESE...Ratio uweke mchanga ndoo 12 kwa mfuko na kazi umpe saidia fundi ndio ajenge.
Saidia fundi hapo itakua ni kujenga banda la kukuNimependa hapo kwenye kazi ampe saidia fundi
Kujenga sawa, Lakini Finishing ni muziki mwingine. Huenda akawa sahihi.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Kujenga sawa, Lakini Finishing ni muziki mwingine. Huenda akawa sahihi.
mpaka hapo ilipo inatosha.ila hapo ujue uko nusu ya ujenzi.yaani kukamilisha kutoka hapo ilipo ili uweze kuishi labda unahitaji ya zaidi hizo 14m.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Acha uoga hiyo nyumba m 14 inatosha wala usiogope mm nimejenga kwa m 9 bila plasta madirisha mlango blandaring, hiyo m9 mpaka shimo la choo masink mfumo wa umeme kwenye hiyo mil 9 nyumba ya vyumba viwili vyote master sitting room na jiko na mm uwanja ni slop haswaa kozi 15 msingiNataka kuanza maisha naye nikipaua na niweke wiring na plumber nyumba tayari
Inawezekana iwapo tu msingi tayari upo. Kilicho juu ya msingi kinawezekana kabisa kujengwa kwa hiyo pesaFundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Na jaribu December wakati wa vacationAcha uoga hiyo nyumba m 14 inatosha wala usiogope mm nimejenga kwa m 9 bila plasta madirisha mlango blandaring, hiyo m9 mpaka shimo la choo masink mfumo wa umeme kwenye hiyo mil 9 nyumba ya vyumba viwili vyote master sitting room na jiko na mm uwanja ni slop haswaa kozi 15 msingi
Huyo fundi atakuua! In fact hiyo gharama ni kubwa sana, kwani kiujenzi, matofali mia nne (400) unapata chumba kimoja cha vipimo standard! Kwa vyumba viwili ni matofali mia nane (800) na sebule labda kwa vile ni kubwa basi kisia matofali mia nane (800) kwa hiyo ni matofali 1600 au shilingi 1,600, 000/=. Haya wengine dadavueni hiyo gharama kutoka kwenye taarifa yangu hii. Asanteni.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Fundi anakupa moyo mkuu .ukishampa kazi na hela hapo hela yako itakapoishia yeye Hana habari na wewe .fundi akikuambia milioni 14 Ongeza hapa kama 10 vile kwa uhakika.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447