Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,132
Wakuu naomba kujuzwa ,mimi nataka kufahamu iwapo mtu umehitimu form IV na matokeo yako yanakuruhusu kwenda Advance na ukaaamua usiende advance na uende chuo ,jee Unaweza / unaruhusiwa kuanza diploma moja kwa moja ?