PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,849
Habari za kutwa wana Jf?
Nimekuwa nikifatilia taarifa za habari hapa Tanzania kwenye Television,nikagundua,wandishi wa Tv1, wanaripoti katika kiwango cha kimataifa,hasa kwenye habari za kimataifa,tofaut na wengine ambao wanakopy pest,sema wandishi hao wanabanwa na muda mdogo wa habari zao,
Sijui wenzangu mnalionage swala hili?
Nimekuwa nikifatilia taarifa za habari hapa Tanzania kwenye Television,nikagundua,wandishi wa Tv1, wanaripoti katika kiwango cha kimataifa,hasa kwenye habari za kimataifa,tofaut na wengine ambao wanakopy pest,sema wandishi hao wanabanwa na muda mdogo wa habari zao,
Sijui wenzangu mnalionage swala hili?