manushiboy
Member
- Aug 3, 2011
- 34
- 9
Kweli demu wako akikuacha akaolewa alafu tukio hilo alikufahamisha ukakubali aolewe, sasa anarudi anakuambia eti siku hadi siku hawezi kuishi na mme wake kwani anakuhitaji aishi na wewe, akidai eti wewe ndie chaguo lake la kweli, what is opinion my people???????